Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Daah aisee hz smell nimezikuta sana kwa pisi kali na mashauzi kibao.

Cha ajabu kuna huyu sura ya baba ni mtamu na hakuna bad smell hata kdg na ni msafi knoma.
 
Hapo bado harufu ya mdomo, makwapa lazima uzimie.
Hivi unaweza kwenda kwenye miadi bila kufanya usafi wako wa msingi kwanza kweli!

Unaenda huku ukijua unachoenda kukifanya au unakuwa umeshitukizwa au umelazimishwa?

Ajabu sana hii kwa kweli!

Kumbe ndiyo maana mahusiano mengine huvunjika mpaka watu mnabakia kushangaa na ukitafuta sababu zilizisababisha huzipati!
 
Mbona mie sijakutana na bupa inanuka pamoja na miaka yangunya kuzurula kusaka mbushsu. Nyie hamjui kuchagua bwana.
Mie mwanamke chakwanza kukagua ninkwapa
Mkuu wee bado haujakumbana na hiyo adha!

Kwapa!

Kwapa lina harufu gani bhana?

Ipo siku utakuja kukasirishwa na hayo makitu, labda ujiokokee utulizane, lakini kwa uswampaji wenu vijana, ni lazima tu.
 
Mkuu wee bado haujakumbana na hiyo adha!

Kwapa!

Kwapa lina harufu gani bhana?

Ipo siku utakuja kukasirishwa na hayo makitu, labda ujiokokee utulizane, lakini kwa uswampaji wenu vijana, ni lazima tu.
Hamna bwana kwapa tena mie ndio kitu cha kwanza kucheki maana part of foreplay mie nape da lamba kwapa so nataka kwapa safiiiiii lainniiiiii
 
Hivi unaweza kwenda kwenye miadi bila kufanya usafi wako wa msingi kwanza kweli!

Unaenda huku ukijua unachoenda kukifanya au unakuwa umeshitukizwa au umelazimishwa?

Ajabu sana hii kwa kweli!

Kumbe ndiyo maana mahusiano mengine huvunjika mpaka watu mnabakia kushangaa na ukitafuta sababu zilizisababisha huzipati!
Wapo watu wa hivyo na hawajali wala nini. Alafu sasa unakuta anataka uende ukiwa msafi ila yeye wala hajihangaishi unamkuta na kikwapa chake katulia anakusubiri.
 
Bahati yangu, niliwahi kupima oil katika one and two, kutoa kidole harufu sio.
Uzuri alikuwa anasema ana haraka, na mimi nikajibu twende nikuwahishe stand, nadhani imebaki story
 
Back
Top Bottom