Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Nimecheka kipumbaf mie.

Hayo majitu machafu chafu kwa jinsia zote yapo kibao na hayajitambui ujue.

Kwa kweli ni kero.

Ukute mtu ashakusumbua sana, sasa imefika siku ya kuchinja, ndiyo unakumbana na taka taka kama hizo, unafikiri utajisikiaje!
Mpaka unajiuliza, alikuwa anataka nn kwani🙌
 
Ile harufu kmmake ilibidi nimkojoleshe na vidole nisingizie sina zana halafu alivyoondoka nakimbilia bomba maji yamekatika niliogopa hadi kushika vyombo vyangu ndani ninawe


Demu ananuka mzoga wa marehemu kwenye mbususu na yale maji maji yake kwenye vidole vyangu ambayo yashakauka daah vilikuwa vinanuka vibaya sana Jesus Christ !!
Ungevaa gloves aisee
 
Hapo bado harufu ya mdomo, makwapa lazima uzimie.
Ila mie nawashangaa sana nyie wanawake...where do u get such kind of men? Kha! Mbona hamjipendi nyie wanawake. Ebu njooni kwa wanaume kama sie wakina mzabzab hela hatuna lakini kendez inanukia kipapli papli mwenye unatamabi kumeza.
 
Back
Top Bottom