Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Uduguu umechachuka sana ujue, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shem wako si alibebwa na nyaku nyaku wa JF. usijifanye hujui. Lol

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo umekubali matokeo? 😹😹
Uduguu njoo tutafute wa wengine na sie tuwabebee mfyuuu.!! 🤣
 
Kwahiyo umekubali matokeo? [emoji81][emoji81]
Uduguu njoo tutafute wa wengine na sie tuwabebee mfyuuu.!! [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF ni ya kukaa nayo kimastaaa, nilitaka kujichanganyaa.
Uduguu kumbe naingia kwenye mfumo ili nipate pigo takatifu.

Unaambiwa ningekimbia mazima JF, kula ubuyu kidg. Woiiiih

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Hata nyie wanaume mna kismell cha poumbou wohi wohi hata cone hailiki, hiyo mikengele muwe mnaisafisha..!!
Halafu wanajikutaga wajuaji kissme kinasuguliwa km anataka kuwasha moto ptyuuuu.!!
can you plz explain in English for foreigners to understand?🐒
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF ni ya kukaa nayo kimastaaa, nilitaka kujichanganyaa.
Uduguu kumbe naingia kwenye mfumo ili nipate pigo takatifu.

Unaambiwa ningekimbia mazima JF, kula ubuyu kidg. Woiiiih

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Weeeh!! Ilikuwaje tena uduguu?? Mbona mazito? 😳

Huu ubuyu unipe vizuri tuwachambe wachawi wetu..!! Mxieeeeww mbona wana mambo ya kizamani watu??
 
Back
Top Bottom