Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Kisamaki
 
Jobless_Billionaire harufu mbaya sehemu za siri zinasababishwa na either hygiene mbaya au infections.

Na kwa maelezo yako nahic huyo demu ana hygiene mbaya pamoja na Bacterial infections or yeast infections.

Baada ya ulivyomwambia kuhusu hali yake na response yake ukaona ni mbaya usingeishia hapo, ungetafuta namba ya daktari yoyote unayefahamiana nae, ungemuelekeza hio issue then angekupa ushauri mzuri tu na kukuelekeza dawa za kununua za kupunguza hizo infection alizokuwa nazo, hii ingekuwa ni positive move kwa upande wako ya kumuonesha kwamba unamjali na unataka apone ili muendelee na mahusiano, sasa wewe umeishia kumwambia tu unanuka kibeberu, we unadhani angechukulia hilo swala positively?

Alaf mpigie simu asaiv mwambie awe anakula mananasi, ni mazuri sana kwa kuboresha vagina odor, mananasi yanakata harufu mbaya ya vagina na husaidia huko chini kunukia vizur.

Yangu ni hayo.
 
Nilifukuzia demu kama miezi kadhaa
Nimempata demu,kumuweka Dogg style aisee harufu ya mnduku balaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila haki hawa wadada ukiwaona na nguo zao na wanavyoringa nakutikisa mix by yas wakitembea utasema mtu uyu vua sasa utasema ile harufu ilikuwa inazunguka ndan ya skin na kyupi.
 
Una roho ngumu man!

Mi huwa inalala kabisa na naanzisha stori zingine kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…