TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Kuna jamaa alitoka Arusha kwenda nairobi na gari yake. Sasa akawa amepark sehemu ili akaulizie hoteli na aliporudi akakuta gari haipo!
Katika kuchanganyikiwa jamaa akampigia simu rafiki yake wa arusha na kumuuliza 'aise, hivi jana tulipoondoka pale bar, uliondoka na gari yangu eh?' vipi, we/jamaa yako amewahi kuibiwa gari? Reaction yako /yake ilikuwaje?
Katika kuchanganyikiwa jamaa akampigia simu rafiki yake wa arusha na kumuuliza 'aise, hivi jana tulipoondoka pale bar, uliondoka na gari yangu eh?' vipi, we/jamaa yako amewahi kuibiwa gari? Reaction yako /yake ilikuwaje?