gari sina
ila niliibiwa simu, nikalazwa siku 2 na drip juu
Nimewahi kuibiwa kipedo, nililia nikazimia mara 6.
halafu ikawaje?
Si mchezo..nadhani ndani ya simu kulikuwa na vitu vere vere confidential...
Mimi niliiba.
yaani, alinimaliza kabisa.
Simu ya kitochi inatunza hadi scanned docs
Ndio matatizo ya kutembelea gari yenye 3rd part insurance, huwi na amani