Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi wanaofanya hivi ndio kwanza wanaanza biashara.Binafsi nilikata matumizi yangu,nikasima na bei yangu lakini haukupita muda mshindani alidondoka.Jambo la pili ni kuangalia kuwekeza katika maeneo tofauti kiasi ambacho ukishuka huku,kule kunaku maintain.Haya mambo tunayo waswahili lakini Wahindi wana umoja sana.Kwa kiingereza inaitwa CUT THROAT COMPETITION (Ushindani wa kuchinjana makoromeo)
Ni aidha
N.k.
- jirani biashara imemshinda anaanza kuuza kwa bei za chini amalize mzigo
- Mbinu ya kukuibia wateja kwa kuwauzia kwa bei rahisi kuzidi zako
- Anataka uhame atawale soko hio sehem
- Anataka kukutia adabu / kukukomesha / kisasi
Binafsi nina jirani anauza kwa bei za chini mno
Ni upuuzi sana kufanya ushindani wa kushushiana beiMara nyingi wanaofanya hivi ndio kwanza wanaanza biashara.Binafsi nilikata matumizi yangu,nikasima na bei yangu lakini haukupita muda mshindani alidondoka.Jambo la pili ni kuangalia kuwekeza katika maeneo tofauti kiasi ambacho ukishuka huku,kule kunaku maintain.Haya mambo tunayo waswahili lakini Wahindi wana umoja sana.
Which means a price war is not sustainable in the long run.Ni sasa hivi kashajipata lakini Enzi za VUNJABEI anatafuta soko hamna mahali unaweza pata jeans bei rahisi kama kwake labda Mtumbani.
sasa hivi VUNJA BEI kashajipata limebaki jina tu ila sio kwamba bei zake ni chini tena kashavuka huko saivi anauzia wenye pesa.
Kwenye uchumi hii inaitwa "oligopoly market". Mnakaa mnakubaliana then kila mtu anatakiwa kuheshimu maamuzi ya kikao. Ndio wanavyofanya mitandao ya simu. Siku ukiona Voda au airtel kapandisha bei jua lazima wengine wafwate.Fahali wawili wakipigana ziumiazo nyasi
Bora mkubaliane na kuweka bei zinazolingana kuliko kuendelea kufaidisha binadamu na nyie kuendelea kuteseka na umaskini
atakwama,Kwa kiingereza inaitwa CUT THROAT COMPETITION (Ushindani wa kuchinjana makoromeo)
Ni aidha
N.k.
- jirani biashara imemshinda anaanza kuuza kwa bei za chini amalize mzigo
- Mbinu ya kukuibia wateja kwa kuwauzia kwa bei rahisi kuzidi zako
- Anataka uhame atawale soko hio sehem
- Anataka kukutia adabu / kukukomesha / kisasi
Binafsi nina jirani anauza kwa bei za chini mno
Unakabiliana nae vipVita ya akina dada lakini mlipaji hapo ni sponsor
Mimi nasimamia Bei yangu. Iwe jua iwe mvua.Mnakabiliana vip na hii changamoto
Ni kuacha tu umalayaUnakabiliana nae vip
Unawatosa tuUnakabiliana nae vip
Penetration pricingUkijidai ushushe zaidi yake utaumia. Huyo ameweka bei ya chini ili kuvutia wateja baadae atapandisha tu.
Mbinu gani hizoBusiness is not for everyone....kwa mwendo huo kati yako na huyu competitor mmoja n swala la mda tu...atanyoosha mikono juu....tumia mbinu za kichaga swala dogo sana hiloo...