Shepherd
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 2,428
- 1,656
PointUkijidai ushushe zaidi yake utaumia. Huyo ameweka bei ya chini ili kuvutia wateja baadae atapandisha tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PointUkijidai ushushe zaidi yake utaumia. Huyo ameweka bei ya chini ili kuvutia wateja baadae atapandisha tu.
dNi upuuzi sana kufanya ushindani wa kushushiana bei
Simamia uhalali utashinda ni swala la muda tuKwa kiingereza inaitwa CUT THROAT COMPETITION (Ushindani wa kuchinjana makoromeo)
Ni aidha
N.k.
- jirani biashara imemshinda anaanza kuuza kwa bei za chini amalize mzigo
- Mbinu ya kukuibia wateja kwa kuwauzia kwa bei rahisi kuzidi zako
- Anataka uhame atawale soko hio sehem
- Anataka kukutia adabu / kukukomesha / kisasi
Binafsi nina jirani anauza kwa bei za chini mno
HahahaMimi nilianzisha mashine ya kukoboa na kusaga ya disel huko kijijini mkoa wa Tabora sasa nikakuta jamaa alikuwa nakoboa na kusaga kwa 1200 kwa debe.
Nilipoanzisha mimi nikaanza na bei 1000 nikakomba wateja woote alivyoona hivyo bila kuniuliza akashusha bei 800. Nami nikaona isiwe tabu nikashasha kukoboa na kusaga iwe 500 jamaa akchananyikiwa akashusha ikawa mia tatu.. mimi nikaweka utaratibu kukoboa na kusaga ni bure ila pumba unaacha. Jamaa alipandisha mikono juu na hadi leo nakoboa na kusaga buree ila pumba wanaacha. Nasafirisha tone za pumba kweli kweli