Msumari Wa Shaba
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 344
- 464
Pia kunaMawemilu- Shinyanga vijijini. Idisanhambo- Kishapu.
Kumbe inaandikwa hivi, mi nilifikiri inaitwa "Kwa Mla Mboo,"Kwa muromboooo
Chuga iyo chuga 🫡
Mkuu,KIJIJI CHA KIKULYUNGU kipo mkoa wa Lindi wilaya ya Liwale Tarafa ya mbaya kata ya mkutano.Ni Kijiji kipo takribani 70+ kutoka Liwale mjini.Ni Kijiji Cha raia maskini sana wenye shida za Kila aina.Ni Kijiji ambacho mnyama wa miguu minne hafugwi mfano huwezi kukuta mbuzi,mbwa,ng'ombe ,kondoo nk.Ni Kijiji kilichozungurukwa na mbuga ya selou Game researve.
KhanyamaKhandasi kipo ndrani ndrani huko kwenye moja ya hifadhi za Taifa 🐒Majina ya vijiji ya kipekee ni pamoja na Kijiji ambacho niliishi Kinaitwa MTAPYAPYA wewe uliishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?
Kijiji hicho kipo Lindi.
Wewe umewahi kuishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?
NangooMkalapa
Siyo kweli, ni KatumbasongweKatombasongwe.
Siyo kweli, ni MfaranyakiMfiranyaki
Nakapanya ipo wilaya ya Tunduru siyo MasasiNakapnya iko wilaya ya Masasi, na Nanguruwe iko Mtwara vijijini
Sio Newala
Makande kipo TunduruMajina ya vijiji ya kipekee ni pamoja na Kijiji ambacho niliishi Kinaitwa MTAPYAPYA wewe uliishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?
Kijiji hicho kipo Lindi.
Wewe umewahi kuishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?
MkunwaMajina ya vijiji ya kipekee ni pamoja na Kijiji ambacho niliishi Kinaitwa MTAPYAPYA wewe uliishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?
Kijiji hicho kipo Lindi.
Wewe umewahi kuishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?