Umewahi kuishi kijiji gani chenye jina la kipekee?

Umewahi kuishi kijiji gani chenye jina la kipekee?

Kidegembye
Msesule
Mabonde
Kiembe samaki
Mpigamiti
 
KIJIJI CHA KIKULYUNGU kipo mkoa wa Lindi wilaya ya Liwale Tarafa ya mbaya kata ya mkutano.Ni Kijiji kipo takribani 70+ kutoka Liwale mjini.Ni Kijiji Cha raia maskini sana wenye shida za Kila aina.Ni Kijiji ambacho mnyama wa miguu minne hafugwi mfano huwezi kukuta mbuzi,mbwa,ng'ombe ,kondoo nk.Ni Kijiji kilichozungurukwa na mbuga ya selou Game researve.
Mkuu,

Hiki imebidi nikitafute kwenye ramani, kuna Secondary School ipo katikati ya Nyerete National Park/Selous huko.

Kwa hiyo hawa hawaruhusiwi kufuga wanyama kwa sababu wako ndani ya National Park?

Wanaishije na wanyama huko?
 
Majina ya vijiji ya kipekee ni pamoja na Kijiji ambacho niliishi Kinaitwa MTAPYAPYA wewe uliishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?

Kijiji hicho kipo Lindi.

Wewe umewahi kuishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?
KhanyamaKhandasi kipo ndrani ndrani huko kwenye moja ya hifadhi za Taifa 🐒
 
Msunjulile-Dodoma
Mgogodo-Chalinze
Msinune-Chalinze
Kibindu-Chalinze
Chimba unye-Chalinze
Manda mazingara-Chalinze
Matipwiri-Chalinze
Panga la muingereza-Kisarawe
Nkundusi-Kasulu
Ntovye-kigoma
Mgeni nani-Dar
Ng'aapa-Mtwara
Mpwayungu-Dodoma
 
Majina ya vijiji ya kipekee ni pamoja na Kijiji ambacho niliishi Kinaitwa MTAPYAPYA wewe uliishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?

Kijiji hicho kipo Lindi.

Wewe umewahi kuishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?
Mkunwa
 
Back
Top Bottom