Umewahi kuishi kijiji gani chenye jina la kipekee?

Umewahi kuishi kijiji gani chenye jina la kipekee?

Majina ya vijiji ya kipekee ni pamoja na Kijiji ambacho niliishi Kinaitwa MTAPYAPYA wewe uliishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?

Kijiji hicho kipo Lindi.

Wewe umewahi kuishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?
Kijiji cha Lamaiti,Bahi,Dodoma.
 
Majina ya vijiji ya kipekee ni pamoja na Kijiji ambacho niliishi Kinaitwa MTAPYAPYA wewe uliishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?

Kijiji hicho kipo Lindi.

Wewe umewahi kuishi Kijiji Gani chenye jina la kipekee?
Zuzu
 
Mchafukoge ......dar
Kinyasini.......zanj
Kiombamvua....zanj
Chuini.......zanj
Mboga......pwani
Kwediboma....tanga
Kwa bastola....,...Tanga
Mbuzini.......zanji
Tununguo.....Moro
Ubena zomozi ......pwani
Tundwi songani.......pwani
Kibanda cha mkaa....dar
Mwembe mawazo......Tanga
Mburahati.......dar
Pindamgongo.....zanji
 
Tunduru
Nakapanya,,namakambale,,mtonya,

Chunya,
Bitimanyanga,, Shoga,, lupa tingatinga,,kambikatoto.
 
KIJIJI CHA KIKULYUNGU kipo mkoa wa Lindi wilaya ya Liwale Tarafa ya mbaya kata ya mkutano.Ni Kijiji kipo takribani 70+ kutoka Liwale mjini.Ni Kijiji Cha raia maskini sana wenye shida za Kila aina.Ni Kijiji ambacho mnyama wa miguu minne hafugwi mfano huwezi kukuta mbuzi,mbwa,ng'ombe ,kondoo nk.Ni Kijiji kilichozungurukwa na mbuga ya selou Game researve.
 
Back
Top Bottom