Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Hii ya kuosha vyombo ilinifanya niache kupika nikawa nakula kwa mama ntilie kwa bill,ikifika saa 1.30 to saa 2 niko barabarani kwa mama ntilie,baada ya hapo ni movie mpaka saa 7,yale maisha matamu aiseeShida ni kuosha vyombo vinakaa nje kwenye sinki wiki mpaka mabaki ya chakula yanaota fungi
Ndo maana sipend kupika kwa sababu ya vyombo naishia kula cafe au kwa mama ntilie
Sent using Jamii Forums mobile app
Imenivutia magic moment tu hapoHapa mchuchu amenitembelea juz weekend akanipikia Hiyo kitu View attachment 1339887
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mama, we karibia tu
Na mimi Depal nitakula ndizi ntakuja na pilipili mbuzi kweny mfuko...Ndio mama, we karibia tu
Njoo ukae geto kwangu Arusha...utakunywa sana Konyagi na kuvuta msuba utapapenda kwa kweliyaaani home jau haswa.... nmeyamisi maisha ya ghetto ila yawe mkoani, sipapendi dar
Njoo ukae geto kwangu Arusha...utakunywa sana Konyagi na kuvuta msuba utapapenda kwa kweli
Sent using Samsung s10
hahaa getto raha sana,
Kauli mbiu " kula tutakula ata kama kwa kuchelewa" hapo usiku wake mmekunywa pombe za gharama kwel mnamka asubui pesa hamna mpaka ipitishwe donation.
Getto sufuria ya ugali inasiku imeoshwa inanuka hatar,ashtray imejaa husisema,chupa za konyagi na k vant hatar.
Kitanda kutandikwa issue mzee,mhmmm nilisema hapn wajinda nikimalizana na chuo huu upuzi sikati tena japo kua napenda marafiki lakn huu uchafu hapn.
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa mbona vyote hivyo stumii
Hahaha mdau wa ghettoAfu hiyo picha uliyoweka imekaa vibaya, nikija kwako nikakuta hivyo!! Akyamama sitokuja tena labda nisikie unataka kukata roho
Uje na nyama, pilipili mbuzi pembeni ya mlango kuna kimti 🤣🤣Na mimi Depal nitakula ndizi ntakuja na pilipili mbuzi kweny mfuko...
Sent using Samsung s10
Karibu Arusha, Dodoma usiende kuna vumbi utapauka mno..Moro mji mdunchuyaaani home jau haswa.... nmeyamisi maisha ya ghetto ila yawe mkoani, sipapendi dar
🤣🤣🤣🤣🤣Kichuo chuo mnakaa geto moja watu wa3. Geto lipo well equipped Yani karibia kila kitu. Kimbembe mnapokuja kusambaratika dadeki unajikuta kumbe mle geto Cha kwako ni ni feni, deki ya CD na mopa ya kudekia, vingine vyote vya washikaji. Mageto ya kuchangia noma Sana.
Karibu Arusha, Dodoma usiende kuna vumbi utapauka mno..Moro mji mdunchu