Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Sijawahi kuelewa kwa nini huwa alipashwi moto na halichachi..Halichachi wala haliozi wala halipashwi moto...
Na linavyozidi kukaa ndiyo linazidi kuwa tamu🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuelewa kwa nini huwa alipashwi moto na halichachi..Halichachi wala haliozi wala halipashwi moto...
Dagaa naoweza kuwala Na kichwa Ni uwono tuBila kutoa vichwa ni kasheshe 😀nawaonaga km Bado wapo ziwani 😂😂😂
Watoto wa pwani hawa wamezoea nazi na binzali Ila uende kwa mnyamwezi akupikie nsasa na hizi dagaa halafu useme hajui kupika. Mdomo wako lazma uwe na shidaKanda ya ziwa ni chai tu ndo hatuwekei karanga 🤣🤣🤣 hata wali ukikaa vibaya tunaunga na karanga.
Inakuwa tamu balaa.Peanut butter kwenye dagaa?! Kweli kuna aina nyingi za mapishi
😁😁😁😁 ila me nishashibaMbona vitunguu Na nyanya havijaiva vizuri
Vitunguu vya Ivo vinafaa kwenye mboga ya majani Hasa spinachMchanganyo uko vizuri, Mimi mavitunguu yasipo iva halafu makubwa hivi ndo Tatizo..
Vitunguu ni kama mboga za majani, havitakiwi kuiva sana😉😂😁😁😁😁 ila me nishashiba
Hawajuhi utamu wakeHujakutana na mafundi tu mkuu. Hata hiyo roast iliyopikwa hapo naona wengi hawajawahi kuila ndio maana wanadhani itakuwa imedodekwa karanga hadi ikakureketa kooni.
Nishapikiwa hivyo na sister mmoja wa kanda ya ziwa. Mchuzi unakuwa mzito na bila kuambiwa huwezi kusikia ile ladha ya karanga kabisaa
😂😂😂😂Hata Mimi choroko sizielewag kabisaKuna dagaa ndizi tena mama alikua akipika hii kitu kila mtu anatoweka , tunashindia parachichi kutwa , mpka ratiba nyingine tena kwa sababu ratiba ya siku ya chakula gani alikua kabandika ukutani mwa jiko , siku ya choroko haoni mtu😁 Makiwendo
Dagaa hao ni watamu sana ukipiga na ugali. Ila usijaribu kula dagaa wabichi na karanga mbichi utasimuliaPeanut butter kwenye dagaa?! Kweli kuna aina nyingi za mapishi
Mie vikiwa vitunguu kama ivo nasikiaga kaharufu kabayaNICE! Mimi binafsi nachukia sana vitungu vyenye rangi hiyo, napenda vitunguu viwe vibichi kabisa (Kwenye kachumbari) ila vikipikwa basi viwe kahawia
Sijui kwanini, Mi napendelea kitunguu kisagwe kabisa (Grater/Blender)...Vitunguu vya Ivo vinafaa kwenye mboga ya majani Hasa spinach
Mtu anaeshangaa dagaa kuwekwa nyanya chungu na bamia. Bila shaka hajawahi kukanyaga kanda ya ziwa na hata dsm uswazi hajawahi kuishi maana huko hata nyama nusu inawekewa bamia na nyanya chungu ili mboga itoshe hadi usiku 😁😁..Hawajuhi utamu wake
Kuna io Na majani ya Kunde kinyumbani tunaita malopaNa wamama wa kichaga wana sifa sana 😢
Kunde, nyanya chungu aisee tupa kuleeeeMtu anaeshangaa dagaa kuwekwa nyanya chungu na bamia. Bila shaka hajawahi kukanyaga kanda ya ziwa na hata dsm uswazi hajawahi kuishi maana huko hata nyama nusu inawekewa bamia na nyanya chungu ili mboga itoshe hadi usiku 😁😁..
Umejitahidi, hapo mchawi ni ugali laini tu uliomixiwa na unga wa muhogo
dagaa wa mwanza wana michanga ndio maana wanaondolewa kichwa Ila wa bukoba huwa wasafi. Hawaondolewi vichwa miss ephe , usishangae sana nimekulia kanda ya ziwa 😁😁Unamaanisha huwa huoshi dagaa vizuri
Ukiosha dagaa vizuri wakitakata lazima vichwa vyote visePE
Kula nyanya chungu zinasaidia kwenye memory na akili inakuwa sharp 😁😁Kunde, nyanya chungu aisee tupa kuleeee
Sipendelei dagaa na vichwadagaa wa mwanza wana michanga ndio maana wanaondolewa kichwa Ila wa bukoba huwa wasafi. Hawaondolewi vichwa miss ephe , usishangae sana nimekulia kanda ya ziwa 😁😁
Daaah huwa nikila nahisi mwili unasisimkaa inavopita kwenye koo kuelekea tumboniii 😊🙌😬😬Kula nyanya chungu zinasaidia kwenye memory na akili inakuwa sharp 😁😁