ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Kwenye soup/mchemsho nakubali wa kuku lakini🤣Hata supu ultunaweka peanut na ni tamu balaa 😅 I miss home sweet home
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye soup/mchemsho nakubali wa kuku lakini🤣Hata supu ultunaweka peanut na ni tamu balaa 😅 I miss home sweet home
My dear MjukuuGood,mimi napenda zaidi mpiko huo kwa kutumia wale dagaa nyama,au dagaa wa nyasa
Hiyo mboriko ni ya miaka ya 80. Mboriko za sasa zinawekwa mpaka mapambo. Ndio maana kiburu hakinogiUmeona hiyo mboriko 😁
Mbona vitunguu Na nyanya havijaiva vizuriDagaa nimechanganya bamia, nyanya chungu,nimeweka hoho/carrot/soy sauce/ kitunguu maji na peanut butter.
View attachment 3076461
Supu ya kuku au samaki?😀😀Hata supu ultunaweka peanut na ni tamu balaa 😅 I miss home sweet home
Siyo kiburi... Kiburu. Yani dingi alikuwa anasema kiburu ni mboga....Kiburi na ugali hii imekaaje😁😁
Nzuri sanaNipo mkuu za kwako?
Ila Babu.🤣🤣🤣Ila bhana kuna kitu kinaitwa Ngararimo... Uamke asubuhi ugonge na chai. Mchana kutwa kazi yako ni kunywa maji tu...
Nilishangaa sana nilipofika Dar na kuona watu wanakula mtori na chapati. Yaani wamefanya mtori ni kama supu. Hii ni kwa sababu quality ya mtori wa Dar siyo nzuri. Ukipikiwa na mchaga anayejua, mtori huhitaji tena kitafunio cha ziada.🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona huyo anayekula Mtori kitafunio ndizi cha kuchemsha ni mimi kabisa Babu....
Au umeniona?🤣
Been kitambo my Dear...Good,mimi napenda zaidi mpiko huo kwa kutumia wale dagaa nyama,au dagaa wa nyasa
Unatakiwa ukimaliza Kula dagaa usinywe Maji hapo hapo Kaa kidogo ndo unywe ukinywa hapohapo unasikia kichefuchefuItakua tuna minyooo😁 unaweza piga na mchuzi ukimaliza unahisi kichefuchefu bila limao ngoma haitembei kabisa.
Nimeiona....Umeona hiyo mboriko 😁
Je kabichi la karanga ushawahi Kula once ukila utaipandisha cheo kabichi kutoka kwenye kachumbari mpaka mboga😂😂😂 me wa hapo daslam tu, sipen michuzi ya maji maji yan mchuzi mwaaa nyama chini hapana na niko hivo nikiingia jikoni kama naenda sehem ina familia always mchuzi hautoshi kwenye tembea tembea nikakuta mtu anapika makande ya karanga nilistaajabu sjawah kuona
Halichachi wala haliozi wala halipashwi moto...Ila Babu.🤣🤣🤣
Naijua vyema sana...
Linachemshiwa kwenye chungu....Linakaa huko jikoni hata wiki...Ni kula tu😅
Hujakutana na mafundi tu mkuu. Hata hiyo roast iliyopikwa hapo naona wengi hawajawahi kuila ndio maana wanadhani itakuwa imedodekwa karanga hadi ikakureketa kooni.Dagaa ikishakua na mchuzi kwangu haipandi kabisa , napenda zikaangwe nipige na ugali bila mchuzi .
Kabisa...Nilishangaa sana nilipofika Dar na kuona watu wanakula mtori na chapati. Yaani wamefanya mtori ni kama supu. Hii ni kwa sababu quality ya mtori wa Dar siyo nzuri. Ukipikiwa na mchaga anayejua, mtori huhitaji tena kitafunio cha ziada.
Hahahaaa. Mko vizuri.Kanda ya ziwa ni chai tu ndo hatuwekei karanga 🤣🤣🤣 hata wali ukikaa vibaya tunaunga na karanga.
Kabichi ni mboga moja nzuri sana inapopikwa vizuri. Naipenda sana japo kuna watu wengi huwa wanaichukia.Je kabichi la karanga ushawahi Kula once ukila utaipandisha cheo kabichi kutoka kwenye kachumbari mpaka mboga
Sababu YA mpishiiKabichi ni mboga moja nzuri sana inapopikwa vizuri. Naipenda sana japo kuna watu wengi huwa wanaichukia.