Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Ukute min me unajua kuchemsha chai tu😂😂😂Mtindi upo sawa kabisa ila huo mchanganyo na dagaa kwangu no
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute min me unajua kuchemsha chai tu😂😂😂Mtindi upo sawa kabisa ila huo mchanganyo na dagaa kwangu no
Mayai ya kuchemsha raha yake uyale na maharage afu ushushie na mtindi...Ugali dagaa bamia togwa na mayai ya kuchemsha..!🤔
Dagaa ninakula basi tu lakini nikiwa nawaosha huwa naona minyoo inaelea kwenye maji juu😎Kuna siku nilipiga dagaa mwishoni kabisa nikakuta nyumba ya wale konokono wa dogo kwanzia siku hiyo sijui dagaa nawaona vipi.
Eh tena ukiyakatia ndani so nice jaribu ulete mrejesho utakuja nishukuruUgali dagaa bamia togwa na mayai ya kuchemsha..!🤔
Eti nimalize kula dagaa nishushie na mtindi lazima nirudishe chenji mkuu nimeona hii kwa watu wengi tu haipandi.Mchanganyo wa maini huo sio?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kumbeeKanda ya ziwa ni chai tu ndo hatuwekei karanga 🤣🤣🤣 hata wali ukikaa vibaya tunaunga na karanga.
Bila kutoa vichwa ni kasheshe 😀nawaonaga km Bado wapo ziwani 😂😂😂Dagaa ninakula basi tu lakini nikiwa nawaosha huwa naona minyoo inaelea kwenye maji juu😎
Duh 🤔Mtindi upi unaongelea wa kunywa au wa kunyonya meku
Unataka nyama eeeeee🤪Dagaa ninakula basi tu lakini nikiwa nawaosha huwa naona minyoo inaelea kwenye maji juu😎
Nipo mkuu za kwako?Upo mrembo☺️
Ndio mpendwa kuna mzee anauza huku hapo sio kila siku ya miwa ndio unapata kwa urahisiJuis ya togwa Tena Umenikumbusha mbali 😀😀
Yani ni sawa ule vitumbua ushushie na K Vant...Eti nimalize kula dagaa nishushie na mtindi lazima nirudishe chenji mkuu nimeona hii kwa watu wengi tu haipandi.
Nataka samaki na kuku☺️Unataka nyama eeeeee🤪
❌Dr janaba is typing...
mshamba sana we dada ndio maana sikukuoa!😅Peanut butter kwenye dagaa?! Kweli kuna aina nyingi za mapishi
Karanga ni hatari Kwa afya Zina mafuta mengi 😀😀Dr janaba is typing...
Mtindi unaotokana na maziwa ya ng'ombe mkuu. Huo mwingine usinikumbushe nikaacha kazi zangu, una sehemu yake maalumu🤪Mtindi upi unaongelea wa kunywa au wa kunyonya meku
unataka unitekeMama mwana upo dar sehemu gani