min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Dagaa na shombo yake ukipiga na mtindi tena lazima utapike 😁😁Muhimu kuwe na glass ya mtindi wakati wa kula ugali. Menu nzuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dagaa na shombo yake ukipiga na mtindi tena lazima utapike 😁😁Muhimu kuwe na glass ya mtindi wakati wa kula ugali. Menu nzuri sana.
Mama mwana upo dar sehemu gani😂😂😂 me wa hapo daslam tu, sipen michuzi ya maji maji yan mchuzi mwaaa nyama chini hapana na niko hivo nikiingia jikoni kama naenda sehem ina familia always mchuzi hautoshi kwenye tembea tembea nikakuta mtu anapika makande ya karanga nilistaajabu sjawah kuona
Kumbe hujui dogo, yaani shombo la dagaa linatoka wapi hapo wakati mzigo ushapikwa. Halafu hujui utam wa mtindi nadhani🤣Dagaa na shombo yake ukipiga na mtindi tena lazima utapike 😁😁
Hakuna mwanamke wa mithali bali kuna mwanaUmke wa Mithali...Sasa kuna mwanaume wa mithali
Vs mwanamke wa mithali.
Enyiwei kama umepika wewe Kongole kwako!
aisee unene utakuandama sana ukifanya hivyoMuhimu kuwe na glass ya mtindi wakati wa kula ugali. Menu nzuri sana.
Mtindi upo sawa kabisa ila huo mchanganyo na dagaa kwangu noKumbe hujui dogo, yaani shombo la dagaa linatoka wapi hapo wakati mzigo ushapikwa. Halafu hujui utam wa mtindi nadhani🤣
Kuna ile inapikwa na Nyanya, Bamia au Nyanya chungu..Dagaa ikishakua na mchuzi kwangu haipandi kabisa , napenda zikaangwe nipige na ugali bila mchuzi .
Kumbe unawanunua wale wakuoshwa mie nanunua wale dagaa waliotayarishwa tayari kwakupikwa .Unamaanisha huwa huoshi dagaa vizuri
Ukiosha dagaa vizuri wakitakata lazima vichwa vyote visePE
Unene unaanzia kilo ngapi ili nikupe jibu kabisa dogo🤣🤣aisee unene utakuandama sana ukifanya hivyo
Duh hakuna wa kwetu ukitia na hizo karanga ndio nachafukwa zaidi , mimi napenda dagaa kavu tu kachumbari na ugali wangu pembeni 😁Kuna ile inapikwa na Nyanya, Bamia au Nyanya chungu..
Unawekwa na Karanga za kusaga...Najua hujawahi kula😀
Watram sana unawaweka tu maji ya limao unamwaga tu unaweka jikoni basi inaongeza ladha na mabamia nanyanya nyingi kidogo , na karoti na vitunguu , hoho nzuri na kamboga kamajani pembeni na kaugali na mayai yakuchemsha na juice ya togwa ya baridi ukipataKha! Wale huwa siwawezi
Napenda vitu niandae mwenyewe
Nlikinai dagaa na samaki kisa mapishiDagaa za michuzi nimezikataa kabisa
Mchanganyo wa maini huo sio?Mtindi upo sawa kabisa ila huo mchanganyo na dagaa kwangu no
Ugali dagaa bamia togwa na mayai ya kuchemsha..!🤔Watram sana unawaweka tu maji ya limao unamwaga tu unaweka jikoni basi inaongeza ladha na mabamia nanyanya nyingi kidogo , na karoti na vitunguu , hoho nzuri na kamboga kamajani pembeni na kaugali na mayai yakuchemsha na juice ya togwa ya baridi ukipata
Juis ya togwa Tena Umenikumbusha mbali 😀😀Watram sana unawaweka tu maji ya limao unamwaga tu unaweka jikoni basi inaongeza ladha na mabamia nanyanya nyingi kidogo , na karoti na vitunguu , hoho nzuri na kamboga kamajani pembeni na kaugali na mayai yakuchemsha na juice ya togwa ya baridi ukipata
Kuna siku nilipiga dagaa mwishoni kabisa nikakuta nyumba ya wale konokono wa dogo kwanzia siku hiyo sijui dagaa nawaona vipi.Unamaanisha huwa huoshi dagaa vizuri
Ukiosha dagaa vizuri wakitakata lazima vichwa vyote visePE
Mtindi upi unaongelea wa kunywa au wa kunyonya mekuKumbe hujui dogo, yaani shombo la dagaa linatoka wapi hapo wakati mzigo ushapikwa. Halafu hujui utam wa mtindi nadhani🤣