Umewahi kujaribu kupika dagaa kwa mtindo huu?

Umewahi kujaribu kupika dagaa kwa mtindo huu?

Dagaa ikishakua na mchuzi kwangu haipandi kabisa , napenda zikaangwe nipige na ugali bila mchuzi .
huyu angepika wale dagaa nyama wale kwa nazi hua watam sana sio kauzu uchanganye na kitu ya kulia mkate hell no!! kauzu wapikwe liwe roast dikodiko ukijichanganya ukajua ni mchuzi wa nyama ya kusaga kumbe ni kauzu hao dagaa nyama kam unatumia naz nao wana upikwaji wake na ni nazi og ukae chin ukune sasa kuna huyu na wale wa kuanza kukaanga kitunguu maji na mafuta mwisho wanamiminamo tui bubu mtu anakwambia amepika mchuz wa nazi hatari, ila unajua nn dagaa waliowekwa kitu ya kulia mkate kwangu ni brand new!! tena nisingeweza hata kula.
 
Kumbe Konde aliiona hii ndo akaimba "Bora ugali dagaa kwenye amani"

Nilitaka nishangae 😀😀
bec2656178544434a7450c40f5ac2413.jpg
🤣🤣
 
Back
Top Bottom