Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ManenoHujawahi kuwa serious🤣🤣
Hivyo nini maana ya mithali yako?
😁😁😁😁Kichefu chefu vipii? Husikiii?
Duuuh wajaa mnaweza kumudu michanganyo resi ya food.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ww kama mm😊Dagaa ikishakua na mchuzi kwangu haipandi kabisa , napenda zikaangwe nipige na ugali bila mchuzi .
Na wewe kama mimi.Ww kama mm😊
Itakua tuna minyooo😁 unaweza piga na mchuzi ukimaliza unahisi kichefuchefu bila limao ngoma haitembei kabisa.Ww kama mm😊
Aya😊Na wewe kama mimi.
huyu angepika wale dagaa nyama wale kwa nazi hua watam sana sio kauzu uchanganye na kitu ya kulia mkate hell no!! kauzu wapikwe liwe roast dikodiko ukijichanganya ukajua ni mchuzi wa nyama ya kusaga kumbe ni kauzu hao dagaa nyama kam unatumia naz nao wana upikwaji wake na ni nazi og ukae chin ukune sasa kuna huyu na wale wa kuanza kukaanga kitunguu maji na mafuta mwisho wanamiminamo tui bubu mtu anakwambia amepika mchuz wa nazi hatari, ila unajua nn dagaa waliowekwa kitu ya kulia mkate kwangu ni brand new!! tena nisingeweza hata kula.Dagaa ikishakua na mchuzi kwangu haipandi kabisa , napenda zikaangwe nipige na ugali bila mchuzi .
Mimi hata nikiwakausha nkishamaliza kula naitafuta ndimuItakua tuna minyooo😁 unaweza piga na mchuzi ukimaliza unahisi kichefuchefu bila limao ngoma haitembei kabisa.
Hata mie napikaga hivyo nitram balahUnapikaje Dagaa na vichwa vyake....aaargh
Kumbe Konde aliiona hii ndo akaimba "Bora ugali dagaa kwenye amani"
Nilitaka nishangae 😀😀
Wow😊Mimi hata nikiwakausha nkishamaliza kula naitafuta ndimu
Yani sikai kwa amani
Ila ndo hvo nawapenda so na force tu...wa mchuzi mara ya mwisho kula hata sikumbuki😁
Ahahahah kwanini sasa embu upike unikaribisheNajua kwa kiasi chake si haba...
Chapati Bado zinanipiga chenga
Khee😁😁🤣Wow😊