Umewahi kujiuliza jinsi mwisho wako hapa Duniani utakavyokuwa? Umejipangaje kuupokea?

Umewahi kujiuliza jinsi mwisho wako hapa Duniani utakavyokuwa? Umejipangaje kuupokea?

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
Moja kati ya swali la msingi unalotakiwa kujiuliza ni kuhusu mwisho wako hapa Duniani.
Unajua ni lini au ni namna gani utaondoka? Umejiandaaje?

Maandalizi mazuri zaidi ni kurekebisha njia zako na kuishi kama Mungu anavyotaka bila kusahau jamii na sheria za nchi zinataka nini.

Kuishi kama Mungu anavyotaka kutakusaidia uwe na ujasiri wa kutokuuogopa mwisho na kuwa tayali kuupokea muda wowote.

Usisahau kuwa, baada ya kifo ni hukumu.
 
Nashangaa sana mtu anahangaika na gharama na mateso ya duniani wakati ana Jumba la kifahari mbinguni, ana uzima wa milele mbinguni halafu anahangaika na matibabu duniani.
Ona Papa Francis anahangaika na kuokoa maisha yake, kama kuna uzima wa milele mbinguni kwanini asiende?
Ukishindwa kula bata hapa duniani basi sahau kwamba eti kuna sehemu utaenda ufutwe machozi.
 
Kama ulizaliwa basi tambua utakufa. Kama hukujiuliza wakati ulizaliwq, yafaa nini na faida gani ujiulize siku yako ya kufa? Ishi ishi na uishi na ufurahie na kutambua uwepo wako hiyo inatosha. Enjoy your presence.
 
Nashangaa sana mtu anahangaika na gharama na mateso ya duniani wakati ana Jumba la kifahari mbinguni, ana uzima wa milele mbinguni halafu anahangaika na matibabu duniani.
Ona Papa Francis anahangaika na kuokoa maisha yake, kama kuna uzima wa milele mbinguni kwanini asiende?
Ukishindwa kula bata hapa duniani basi sahau kwamba eti kuna sehemu utaenda ufutwe machozi.
anaejua ukweli wa njia zake ni mtu mwenyewe
Mimi na wewe hatujui mahusiano ya Papa na Mungu wake yako vipi, kwahiyo hutakiwi kuhitimisha eneo atakaloelekea Papa baada ya kufariki.
 
Nashangaa sana mtu anahangaika na gharama na mateso ya duniani wakati ana Jumba la kifahari mbinguni, ana uzima wa milele mbinguni halafu anahangaika na matibabu duniani.
Ona Papa Francis anahangaika na kuokoa maisha yake, kama kuna uzima wa milele mbinguni kwanini asiende?
Ukishindwa kula bata hapa duniani basi sahau kwamba eti kuna sehemu utaenda ufutwe machozi.
Ukiumwa kama papa, hutojihangaikia tutakuhangaikia kwasababu uwezo upo. Hamna binadamu atakuacha ufe kama mwizi. Binadamu hatuna roho mbaya hivo. Ndio maana ukifa tunasema Mungu amekupenda zaidi.
Ukishakufa tunakuacha kwake. Mtajuana.
 
Hakuna cha hukumu wala nini, ni kawaida ya binadamu ku-complicate mambo kwa kujifanya special zaidi,...MUNGU hayupo wala shetani,..maana wameshindwa kujidhihirisha uwepo wao kwa binadamu, so dini zimebaki kuwa blah blah zisizokuwa na uthibitisho,....kwa ufupi kama afavyo sisimizi, au chura na binadamu ndivyo utakavyo kufa,....kama sisimizi ataenda kuhukumiwa basi na wewe, binadamu utahukumiwa,.......just live
 
Back
Top Bottom