kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
- Thread starter
- #21
And why do people fear it?Death is a fate, our fate have been sealed since were born. You can't fight The fate, you just Accept it. Vyovyote itakavyokuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And why do people fear it?Death is a fate, our fate have been sealed since were born. You can't fight The fate, you just Accept it. Vyovyote itakavyokuja
Sawa mkuu. Andiko lako limenikumbusha mashahidi wa YehovaHapana
Kama Mungu hayupo, niambie ni nani aliyeumba dunia, lakini pia nambie ni nani alipangilia hiyo mifumo ya mwili wako kuwa hivyo ilivyo, pia niambie ni ilikuaje binadamu akawa na akili kubwa kuliko makundi mengine ya wanyama?Hakuna cha hukumu wala nini, ni kawaida ya binadamu ku-complicate mambo kwa kujifanya special zaidi,...MUNGU hayupo wala shetani,..maana wameshindwa kujidhihirisha uwepo wao kwa binadamu, so dini zimebaki kuwa blah blah zisizokuwa na uthibitisho,....kwa ufupi kama afavyo sisimizi, au chura na binadamu ndivyo utakavyo kufa,....kama sisimizi ataenda kuhukumiwa basi na wewe, binadamu utahukumiwa,.......just live
😂Mm nataka kinikute nikiwa juu ya kifua cha lishangazi langu
kwani unauhakika upi kama dunia iliumbwa?.....Kama Mungu hayupo, niambie ni nani aliyeumba dunia, lakini pia nambie ni nani alipangilia hiyo mifumo ya mwili wako kuwa hivyo ilivyo, pia niambie ni ilikuaje binadamu akawa na akili kubwa kuliko makundi mengine ya wanyama?