Umewahi kujiuliza ni familia ngapi zinakula na kunywa kwa kipato kinachopatika Facebook, instagram,whatsapp?

Umewahi kujiuliza ni familia ngapi zinakula na kunywa kwa kipato kinachopatika Facebook, instagram,whatsapp?

Sahihi mkuu, mim nimejikuta na push insu zangu kwa urahisi bila kitumia nguvu sana, yani nipo some where nimetulia ila karibu Kona zote tanzania ninajina kuptia wateja naowapata through social networks
Screenshot_20250210-210342_1.jpg
 
Kabla sijaingia tiktok nilidhan ni mtandao wa hovyo watu kujianika vibaya na mambo tele ya ajabu ila nimeingiamo sioni hayo masuala kabisa
Na wale wanaotikisa makalio
Huko nasikia wanapiga hela

Ova
 
Back
Top Bottom