Umewahi kujiuliza ni familia ngapi zinakula na kunywa kwa kipato kinachopatika Facebook, instagram,whatsapp?

Kabla sijaingia tiktok nilidhan ni mtandao wa hovyo watu kujianika vibaya na mambo tele ya ajabu ila nimeingiamo sioni hayo masuala kabisa
Na wale wanaotikisa makalio
Huko nasikia wanapiga hela

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…