To be honest Kwa sisi wafanya -biashara tunabidi kumshukuru Sana Mungu na kumuombea maisha marefu mmiliki wa hii mitandao ,Facebook, Instagram na WhatsApp.
Familia zetu zinakula na kunywa kupitia hii mitandao
Tunauza bidhaa za mamilion , tunanunua bidhaa n.k
God bless you makizigibagi.