Umewahi kujuta kumuoa/kuolewa na huyo?

Umewahi kujuta kumuoa/kuolewa na huyo?

Chariton

New Member
Joined
Dec 18, 2021
Posts
0
Reaction score
0
Inawezekana wakati unamuoa/kuolewa naye ulikuwa na mategemeo lukuki ambayo kwa bahati mbaya huyaoni katika Manisha halisia ya ndoa!

Umewahi kujiuliza kama unatimiza mategemeo yake kwako ya kabla ya ndoa? Moyo wa mwanadamu ni kichaka, yawezekana amejaa sononeko ndani ya moyo wake kwa kutopata toka kwako alichotegemea kabla ya ndoa!

Kabla ya ndoa, wakati wa urafiki wa kimapenzi, uchumba mlifurahiana Sana, je, bado mnafurahiana? Unafurahia kuwa naye? Ametimiza matarajio yako kwake au amekengeuka? Unafanya nini kuendana na hali hiyo?

Uzi tayari! Karibuni.

1643187785928.png

=======
Kwa maoni zaidi soma:Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa
 
Inabidi mambo yakishakuwa tofauti na matarijio ukubaliane tu na hali maisha yaendelee.
 
Back
Top Bottom