Umewahi kukaa hoteli au sehemu na Kivulana cha tabia hii?

Mpaka wakati huu mtu unatembea na power bank huyo tayar n Lana Zaid kwakweli
 
Kuna wengine, ndani ya bus la usafiri, utakuta anaongea mwanzo mwisho, kelele tupu, na anachoongea hakina maana, yani ili mradi adhihirishe ushamba wake tu.
 
Angekuwepo member mjanja mjanja wa JF ungekuta ameshamchukua picha huyo majinuni nankuiwasilisha humu kwenye thread yake lakini wewe unashangaza sana kwa kuja mikono mitupu
Eti una roho mbaya tu..mleta Uzi Kani PM
 
Ulimbukeni tu na umaskini wa kifikra
 
Picha iko wapi? Siku nyingine ikitokea ishu kama hii niite ooh sorryikitokea ishu kaa hii piga picha
 
Nsyuka
 
Ungekaita pembeni na kukipa vitasa viwili kangeacha kuwapigia kelele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…