Umewahi kukumbwa na mikasa yoyote ndani ya mahusiano...

Umewahi kukumbwa na mikasa yoyote ndani ya mahusiano...

mi mam sapu alikuwa ananiambia ohoo nakupenda hakuna mfano! nikaenda mahali kikazi mwezi mmoja tu kurudi ni 'mjamzito', kuuliza nani anayewajibika na ujauzito huo nikapewa jibu 'asiye kuwepo na lake halipo'
Pole sana umenifurahisha sana si ungewajibika tu Kuficha aibu yaani ma msapu wa ndoa au?
 
jamani mmetonesha vidonda vya watu huku hii maada inagusa sana,jamaa hasemi kitu anasepa ukiuliza jibu ameaamua kuwa pekee bila hurumu hajui utafill vipi,
 
Ephweee mimi hata sijui nianzie wapi!

Anyway bila mikasahujakomaa kimapenzi.
 
eeeeeeh! Fl1 pole eee! ndio tataizo la kukutana na mtu mjini hujui alikotokea huko kijijini kwao,wengine wameacha watoto
 
I know nyumba ndogo zinajaliwa sana kuliko kubwa, imani yangu hairuhusu mitala na vile vile nina kinyaa sana siwezi share kile kitu. Nataka cha kwangu tu niwe nakimiliki mwenyewe.
Ni vizuri isjefahamu kwamba humiliki mwenyewe hicho ulichonacho..lol mimi mke moja haitakaa nitosheke
 
Wengine wanatumia hiyo kitu kama advantage ya kutaka kitu fulani,akishapata anaingia mitini........
 
Hivi wanajamii kuna mapenzi kweli bila mikasa???
 
yeah hamuaminiki tena ni mlokole pure kila mtu alikuwa anajua na mega pale siku ya kiama nihalalishe mambo nikatoswa hivi hivi tukarudi na bahasha zetu. Dawa sasa hivi nikumega tu mpaka kitumbo kijae

mkarudi na bahasha zenu????ha ha ha ha
inachekesha ingawa inasikitisha...
 
XPIN,ZD,CARMEL ,NGULI Kaizer ,GP generation nasubiri mikasa yenu

xpin wewe inawezekana ushapiga kibuti mtu ktk mazingira ya utata
 
Haya mambo bwana...mi nilikimbiwa na mizengwe kibao. Ila aliyenikimbia sasa hivi ananiona bado kijana.Pengine ananipigia mahesabu maana simuelewielewi story zake wala haziishi..hajui by gones are by gones!!! Hakuna kurudi nyuma.
 
XPIN,ZD,CARMEL ,NGULI Kaizer ,GP generation nasubiri mikasa yenu

xpin wewe inawezekana ushapiga kibuti mtu ktk mazingira ya utata

Dah,mie ni mikasa mingi saaaaaaaaaana,sijui nianzie wapi?nimetenda na nimetendwa.Lakini leo sijisikii vizuri siwezi kusema ,nisamehe FL1.
 
Dah,mie ni mikasa mingi saaaaaaaaaana,sijui nianzie wapi?nimetenda na nimetendwa.Lakini leo sijisikii vizuri siwezi kusema ,nisamehe FL1.
hapa mimi naomba useme!i can't wait to measure your degree aof AGRESSIVENESS!nimeshamtuma mtu aje na venia kalipa haraka sana
 
XPIN,ZD,CARMEL ,NGULI Kaizer ,GP generation nasubiri mikasa yenu

xpin wewe inawezekana ushapiga kibuti mtu ktk mazingira ya utata

Mi kabla sijaoa wife akiwa bado chuo nikapata kabinti kadenti flani ka mitaa ya jirani. Nikawa najimegea kilaini. Siku wife (wakati huo mchumba) akatinga bila taarifa, wakati huo nilikuwa na promise ya kukamega kadenti. Balaa kabinti hakana simu. Tuko sebuleni na wife tunapiga stori mara ghafla kadenti kakaingia.... Nilitamani kuzimia. Kama kawaida shetani akanisaidia kusolvu problem. Nikakaambia kadenti.... Baba kasharudi toka kazini? Aliniambia akija nimuone kuna kitu anataka tuongee. Kabinti na kenyewe kakawa kajanja (sijui kalisaidiwa na pepo) Kakashtukia dili kakanijibu Ndio amenituma nije nikuite..... Mzee nikasevu zali. Hahahaha! Omba Mungu usifumaniwe! Ni disasta!
 
Mi kabla sijaoa wife akiwa bado chuo nikapata kabinti kadenti flani ka mitaa ya jirani. Nikawa najimegea kilaini. Siku wife (wakati huo mchumba) akatinga bila taarifa, wakati huo nilikuwa na promise ya kukamega kadenti. Balaa kabinti hakana simu. Tuko sebuleni na wife tunapiga stori mara ghafla kadenti kakaingia.... Nilitamani kuzimia. Kama kawaida shetani akanisaidia kusolvu problem. Nikakaambia kadenti.... Baba kasharudi toka kazini? Aliniambia akija nimuone kuna kitu anataka tuongee. Kabinti na kenyewe kakawa kajanja (sijui kalisaidiwa na pepo) Kakashtukia dili kakanijibu Ndio amenituma nije nikuite..... Mzee nikasevu zali. Hahahaha! Omba Mungu usifumaniwe! Ni disasta!

hahaha xpin wewe una visa sana mmh umeniacha hoi naamini hapo nguvu ya shetani ndo ilifanya kazi kumaliza hilo zali
 
hahaha xpin wewe una visa sana mmh umeniacha hoi naamini hapo nguvu ya shetani ndo ilifanya kazi kumaliza hilo zali

saa nyingine shetani anasaidiaga? Ulishawahi kufumaniwa binamu? Kufumania najua lazima.
 
Back
Top Bottom