Umewahi kukutana na Tabia Gani za kushangaza kwa Mama Watoto wako alipokuwa Mjamzito?

Umewahi kukutana na Tabia Gani za kushangaza kwa Mama Watoto wako alipokuwa Mjamzito?

Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Labda anataka ale chakula Na kukula Na wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Duh
 
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
nishawahi amsha saa sita usiku,et anahitaji mapera,nikatafutie
tukabishana wee kwamba siwezi kuyapata usiku huo,akaniziria.
kufika saa saba usiku nikaona hii ni ligi sasa,nikaenda kwenye mpera wa jirani nikaiba
mapera mengii, kumfikishia eti hayataki tena.akaniambia nimcheleweshea.
nilimaind kinoma,je ningeumwa na nyoka huko kwenye juu ya mpera
 
Wa kwanza ilikua ni kula sana udongo.
Wa kwanza no 2 akaniita mbwa(kikao cha usuluhishi)
hawezi kukaa na mimi
Kumbuka hapo nimemdungua mimba yuko kwa dada yake
Sijawai kumuona mtoto mpk leo.
Wa pili ilikua tugawane pa kukaa,nimelazwa mahabusu Mara 3.
Watatu kaaga kwao anaenda kujiua sababu niulizwe mimi.
kumbe kaenda Tanga
kujifungua.
mi nazunguruka
na mapolisi tumtafute
maana wanadai najua alipo.
Dah alhamndulillah watoto wote watu wazima sasa na wanajielewa.
 
Mimba ya kwanza wife chakula chake kikuu ilikua ni mahindi ya kuchemsha aisee halafu ilikua ni msimu wa kiangazi hayo mahindi ni adimu. Na alikua hataki kusikia harufu ya chakula kingine. Siku nikasema ngoja nimtest na mbuzi katoriki aisee ile kusikia tu harufu alitapika hadi nilijua nimeua.

Hapo sasa ikawa kazi kuenda pembeni mwa mji kwenye vilimo vya umwagiliaji kutafuta mahindi mabichi aisee jalala lilikua linajaa vigunzii hadi majirani walikua wanashangaa.

Ilikua wife akichemsha mahindi kama kumi hivi akipakua kwenye sinia akikaa nayo chini kwenye kapet katandaza miguu utapenda [emoji16][emoji16] anavyo yachakaza utafikiri mashine na alikua hataki mtu amsogelee.akiamka hapo ni kwenda kutupa furushi la vigunzi.

Ikabidi niwe nakula kwa mama ntilie maana hivi vyakula vingine vilikua vinamchefua na nikila nahakikisha nimelamba limao na kunawa kwa limao kwani nikirudi nanukia ni msala. Kwa hiyo chakula chake kikuu kikawa ni mahindi ya kuchesha na uji wa unga wa dona na ndimu nyingi.

Ilipo fika miezi nane hapa kisanga cha mimba nikakibeba na mimi akiumwa miguu naumwa miguu ...akiumwa mbavu na mgongo na mimi hivyo hivyo bila kusahau kulala aisee nilikua nalala yaani nikisema nikae tu kitu [emoji23][emoji23]

Na siku Alio enda kujifungua ...mimi kiasili ni mgumu sana ila hii siku nililia sana kama masaa mawili mfululizo na hadi leo sijui nilikua nalilia nini. Na nililia huku nikisindikizwa na wimbo wa Roma...viva roma viva [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

....ila mwisho wa siku mtoto alitoka salama mama pia salama ...kijana alizaliwa akiwa na kilo 5 na point.

This comment is sponsored by Mahindi mchemsho
 
Mimba ya kwanza wife chakula chake kikuu ilikua ni mahindi ya kuchemsha aisee halafu ilikua ni msimu wa kiangazi hayo mahindi ni adimu. Na alikua hataki kusikia harufu ya chakula kingine. Siku nikasema ngoja nimtest na mbuzi katoriki aisee ile kusikia tu harufu alitapika hadi nilijua nimeua.

Hapo sasa ikawa kazi kuenda pembeni mwa mji kwenye vilimo vya umwagiliaji kutafuta mahindi mabichi aisee jalala lilikua linajaa vigunzii hadi majirani walikua wanashangaa.

Ilikua wife akichemsha mahindi kama kumi hivi akipakua kwenye sinia akikaa nayo chini kwenye kapet katandaza miguu utapenda [emoji16][emoji16] anavyo yachakaza utafikiri mashine na alikua hataki mtu amsogelee.akiamka hapo ni kwenda kutupa furushi la vigunzi.

Ikabidi niwe nakula kwa mama ntilie maana hivi vyakula vingine vilikua vinamchefua na nikila nahakikisha nimelamba limao na kunawa kwa limao kwani nikirudi nanukia ni msala. Kwa hiyo chakula chake kikuu kikawa ni mahindi ya kuchesha na uji wa unga wa dona na ndimu nyingi.

Ilipo fika miezi nane hapa kisanga cha mimba nikakibeba na mimi akiumwa miguu naumwa miguu ...akiumwa mbavu na mgongo na mimi hivyo hivyo bila kusahau kulala aisee nilikua nalala yaani nikisema nikae tu kitu [emoji23][emoji23]

Na siku Alio enda kujifungua ...mimi kiasili ni mgumu sana ila hii siku nililia sana kama masaa mawili mfululizo na hadi leo sijui nilikua nalilia nini. Na nililia huku nikisindikizwa na wimbo wa Roma...viva roma viva [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

....ila mwisho wa siku mtoto alitoka salama mama pia salama ...kijana alizaliwa akiwa na kilo 5 na point.

This comment is sponsored by Mahindi mchemsho
Tangu ujiunge jf leo ndo nimesoma kitu cha point kutoka kwako haya hongera zako nyingi zikufikie ulionyesha kujali hali ya wife aisee hapo pa kula ukanawia limao pamenigusa sana
 
Mimba ya kwanza wife chakula chake kikuu ilikua ni mahindi ya kuchemsha aisee halafu ilikua ni msimu wa kiangazi hayo mahindi ni adimu. Na alikua hataki kusikia harufu ya chakula kingine. Siku nikasema ngoja nimtest na mbuzi katoriki aisee ile kusikia tu harufu alitapika hadi nilijua nimeua.

Hapo sasa ikawa kazi kuenda pembeni mwa mji kwenye vilimo vya umwagiliaji kutafuta mahindi mabichi aisee jalala lilikua linajaa vigunzii hadi majirani walikua wanashangaa.

Ilikua wife akichemsha mahindi kama kumi hivi akipakua kwenye sinia akikaa nayo chini kwenye kapet katandaza miguu utapenda [emoji16][emoji16] anavyo yachakaza utafikiri mashine na alikua hataki mtu amsogelee.akiamka hapo ni kwenda kutupa furushi la vigunzi.

Ikabidi niwe nakula kwa mama ntilie maana hivi vyakula vingine vilikua vinamchefua na nikila nahakikisha nimelamba limao na kunawa kwa limao kwani nikirudi nanukia ni msala. Kwa hiyo chakula chake kikuu kikawa ni mahindi ya kuchesha na uji wa unga wa dona na ndimu nyingi.

Ilipo fika miezi nane hapa kisanga cha mimba nikakibeba na mimi akiumwa miguu naumwa miguu ...akiumwa mbavu na mgongo na mimi hivyo hivyo bila kusahau kulala aisee nilikua nalala yaani nikisema nikae tu kitu [emoji23][emoji23]

Na siku Alio enda kujifungua ...mimi kiasili ni mgumu sana ila hii siku nililia sana kama masaa mawili mfululizo na hadi leo sijui nilikua nalilia nini. Na nililia huku nikisindikizwa na wimbo wa Roma...viva roma viva [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

....ila mwisho wa siku mtoto alitoka salama mama pia salama ...kijana alizaliwa akiwa na kilo 5 na point.

This comment is sponsored by Mahindi mchemsho
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna jirani yangu nae ilimtokea kama wewe iyo ya kulia alafu alikuwa ni mtu wa makamo tu
 
Tangu ujiunge jf leo ndo nimesoma kitu cha point kutoka kwako haya hongera zako nyingi zikufikie ulionyesha kujali hali ya wife aisee hapo pa kula ukanawia limao pamenigusa sana
Linapo kuja swala family aisee ni kitu kingine kabisa. Na maishani mwangu nina sehemu tatu ambazo sina mzaha nazo hata kidogo ...Nyumba ya ibada......sehemu ninayo patia riziki....nyumbani kwangu .


Nipo radhi hata kwenda kukojolea ukuta wa ikulu au kunya kwenye meza ya spika bungeni ila sio hizo sehemu tatu[emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna jirani yangu nae ilimtokea kama wewe iyo ya kulia alafu alikuwa ni mtu wa makamo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe tupo wengi
 
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Explain
 
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Siku nyingine atakuta vidole kwa huu upumbavu. Ukikataa atafanya nini?

Nina watoto 4 hajawahi niambie upuuzi wowote kwani sitafanya kwa namna yoyote ile.

Nyie vijana jitahidini muwe na misimamo ya uanaume ndio maana mnapelekeshwa na wanawake sasa.

Pumbavu.
 
Back
Top Bottom