Umewahi kukutana na utapeli wa aina gani?

Umewahi kukutana na utapeli wa aina gani?

Habari zenu wana JF wenzangu.


Mara nyingi katika maisha yetu tumekuwa tukikutana na mambo kadha wa kadha, ikiwamo fursa, ajira, changamoto, connections na hata Utapeli.

Katika maisha yetu haya yaliyojaa harakati, utapeli umekuwa ni mkubwa sana.

Takribani miezi miwili iyopita nilikutana na Message Fb, basi nikaijibu na conversation ikaendelea. Alionekana ni mtu mwema hatimaye tukabadilishana mawasiliano na kuhamia Whatsapp.

Katika kufahamiana zaidi alidai yuko kwa Bwana Biden na hata Code yake ilikuwa kweli ni ya kule. Alidai ni medical student in one of the Universities there. Mostly tulikuwa tukichat mambo ya kawaida sana juu ya maisha.

Kuna siku akaniuliza " How is Business in Tanzania ? " nikamjibu kuwa hali ya kibiashara ni nzuri mno nchini mwangu. Basi akanijuza kuwa his uncle is interested in Investing kwa nchi yetu. Nikamwambia his uncle is warmly welcome.

Nikamuuliza pia, huyo uncle ana interest kwenye mambo gani, basi akanijuliza in Eletronics Industry. Pia akasema such business in South Africa. Akarecommend anipe mawasiliano ya uncle wake ili kama ana chochote anataka kujua kuhusu hiyo biashara anayotaka basi aniulize mimi direct.

Baada ya kuwasailiana na huyo uncle wake. Alidai kuwa mpwa wake kamueleza kuhusu mimi amekuwa interested kuinvest Tanzania hivyo anaomba tufanye partneship. Nikamwambia haina shida ni yeye tu. Akaniambia ngoja afanye arrangements za kuship mzigo kuja Bongo. Baada ya kama wiki mbili akaja nicheck jumatatu ya wiki hii na kuniambia nimpe details ili atume mzigo. Hiyo j3 akanitumia na picha moja ya box huku akidai kuna maboksi manne jumla. Na kudai in one of the boxes kaweka sama cash kwa ajili ya clearance na kufanya arrangements kwa ajili ya mauzo ya hizo bidhaa. Mzigo aliniambia utafika j5. Hapo ndipo nikaanza pata mashaka makubwa.

Jumatano juzi mapema kabisa nikaona namba yenye code +254 imenicheck whatsapp kuwa my parcels are in Nairobi hivyo natakiwa kulipa 200 USD kwa ajili ya clearance ili mzigo ufike Bongo.

Ikabidi nimcheck jamaa kumwambia anitumie tracking number, akaniambia kawasiliana na Courier kamwambia mzigo huko Nairobi hivyo napaswa kuclear ili uje Bongo na kudai kuwa ndani ya lile boksi moja alilosema kuna 5000 USD hivyo nilipe tu.

Kumhoji huyo jamaa wa Kenya details za hizo parcels naona anapiga chenga. Kumuuliza method of payment ananiambia ni through Mobile Payment. Kumuomba picha za hizo parcels naona kantumia picha ile ile aliyontumia jamaa wa mwanzo ambaye alidai yuko US. Nikaishia tu kuwaaambia sitapeliwi kirahisi hivyo.

Je, katika harakati zako za maisha ushawahi kutana na utapeli gani?
View attachment 2154968


View attachment 2154969
Mkuu hapo ulikuwa unacheza na the same person namba tu anatofauti mm pia wiki iliyopita nilipigwa Ila nilikuja kushtua mchezo tayar nimeshavuja jasho[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Kuna haya magroup mapya yamezuka huko WhatsApp;

"AGIZA NASI CHINA MOJA KWA MOJA TUKULETEE HADI NYUMBANI"

TV nchi 55 bei 600k.Unaambiwa kuagiza Hadi inakufikia ni siku 45.Ukiangalia hiyo bei iliyowekwa unaingia king unajaa kisha wanakuvua

Sheria zao wanazoweka..
Admin ndy anapost na hakuna sehemu yoyote ya mtu kuchangia au Kusema chochote..ukipigwa unalia kimya kimya na huwezi kuwasanua wengine ili wasipigwe Kama wewe,Mtu anapigwa kisha analia then analeft group kimya kimya[emoji3][emoji3]

Watu wakipungua kwenye group admin anaweka link Tu huko mitandaoni ili waongezeke aendelee kuwavua km samaki.
Huko matapeli ndy wamekimbilia

Sisemi magroup yote ya Aina hii ni ya kitapeli,ilaumakini unahitajika sn
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu hapo ulikuwa unacheza na the same person namba tu anatofauti mm pia wiki iliyopita nilipigwa Ila nilikuja kushtua mchezo tayar nimeshavuja jasho[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mi nilishtuka mapema, nikasema ngoja niende nao nione watakapoishia. Japo alitumia trick ambayo ni rahisi kumshika mtu.
 
Kuna mtu kanitumia hii meseji whatsupp alianza hivi

"Hello my dear beautiful lady [emoji257][emoji112]you are here honestly looking good"

Code ya namba yake ni +229,nilipomwambia kwamba mimi sio lady umekose namba,akasema Okay, haina shida hata tukiwa marafiki tu,nikamwambia haina shida ,baadae akajitambulisha jina lake akasema anaishi Italy-liverpool.

Mimi sikutaja jina ila nilimwambia naishi Tz,basi kashukuru kwa kumuelewa.

Baadae usiku akanitumia tu meseji ya Goodnight brother,nilikuwa sijawasha data kwahio niliikuta asubuhi yake.

Baada ya hapo hajatuma tena meseji yoyote tangu siku hio Jan 22 2022.


Nilijaribu kuangalia hio code mtandaoni nikakuta kama ni nchi ya kiafrika hivi,kwenye Profile photo yake ameweka Mzungu.

Sasa huyu sijui nae ni tapeli au alikosea tu namba tu? na hio ni code ya nchi gani?
Ndiyo mkuu wengi wao wanatumia ptr za wazungu kwenye prfl zao.
 
Kuna haya magroup mapya yamezuka huko WhatsApp;

"AGIZA NASI CHINA MOJA KWA MOJA TUKULETEE HADI NYUMBANI"

TV nchi 55 bei 600k.Unaambiwa kuagiza Hadi inakufikia ni siku 45.Ukiangalia hiyo bei iliyowekwa unaingia king unajaa kisha wanakuvua

Sheria zao wanazoweka..
Admin ndy anapost na hakuna sehemu yoyote ya mtu kuchangia au Kusema chochote..ukipigwa unalia kimya kimya na huwezi kuwasanua wengine ili wasipigwe Kama wewe,Mtu anapigwa kisha analia then analeft group kimya kimya[emoji3][emoji3]

Watu wakipungua kwenye group admin anaweka link Tu huko mitandaoni ili waongezeke aendelee kuwavua km samaki.
Huko matapeli ndy wamekimbilia

Sisemi magroup yote ya Aina hii ni ya kitapeli,ilaumakini unahitajika sn
Upo sahihi kuna jamaa walipiga watu aisee hilo group nilikuwemo.

Walikua na kaofisi, business license na TIN number kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani wewe umeangalia tu hayo maandishi ukagundua ni mzungu? (Maana sidhani hata kama umesoma ukaelewa) ila kwa kuwa umesikia usa,umesikia kilichoandikwa ni kiingereZa basi ume conclude ni mzungu? Ninyi ndo hutapeliwa kirahisi sana. Maana hamjui kitu.na mnajua kila anayezungumza kiingereza ni mzungu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inaonekana ww ndo hujasoma ukaelewa alichoandika mtoa mada unataka reference kwangu.
 
Binafsi kuna mtu kanipiga milioni kama 6 hivi na ushee takribani miezi miwili nyuma.

Kuna dogo wake aliweka tangazo la kuuza kiwanja sehemu fulani hivi Dsm. Baada ya kuwasiliana nae akanipatia namba ya huyo muhusika.

Tulipokutana akamuita mwenyekiti na mjumbe tukaafikiana na kufanya biashara.

Nikamtuma yule dogo wake aweke zile Bicon kubwa za kuonesha mipaka na gharama zote nilimlipa lakini kwa siku ile hakufanya na aliomba udhuru wa kwa nini hakufanya, nilimuelewa lakini kadri siku zilivyozidi ndivyo usumbufu ukaongezeka.

Nikaachana nae, nikaita fundi nikashusha material yote ya ujenzi baada ya kukamilisha msingi tu napigiwa simu kuwa kwa nini unajenga kwenye kiwanja changu...............

Baada ya kuwasiliana nae muuzaji wangu akanipa matumaini kuwa anakuja na aliyemuuzia yeye na full documents. Alikuwa anapokea simu na kuonesha ushirikiano nami lakini mpaka sasa hathubutu hata kupokea simu.

Nilienda ardhi na nikajiridhisha kuwa aliyeniuzia si muhusika. Yaani kichwa kinauma mpaka dakika hii.

Imenibidi nitumie laki5 nyingine kuhamisha tofali na mazaga mengine huku nikivunja ule msingi kwa gharama ya laki3..

Sijui hata hatua za kumchukulia huyu kiumbe. Halafu wala sio mwanaume.
Duuh,Pole sana aisee

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Mi nilishtuka mapema, nikasema ngoja niende nao nione watakapoishia. Japo alitumia trick ambayo ni rahisi kumshika mtu.
Waliwahi kutaka kumpiga mtu wangu mmoja wa karibu bahati nzuri akaniambia.

Nikamwambia waambie wakupe tracking number tu basi. Wakasanda.

Yeye mwenyewe akaona kama namzibia ridhiki. Akaambiwa mzigo umefika zanzibar tayari kuna oesa ya clearance TRA nikamwambia waambie wakupe CONTROL NUMBER ya kulipia TRA, tena wakasanda.

Nikamwambia kaa nao mbali , utaumia. Sikutaka tena kumfuatilia sijui aliishia wapi na watu wake
 
Binafsi kuna mtu kanipiga milioni kama 6 hivi na ushee takribani miezi miwili nyuma.

Kuna dogo wake aliweka tangazo la kuuza kiwanja sehemu fulani hivi Dsm. Baada ya kuwasiliana nae akanipatia namba ya huyo muhusika.

Tulipokutana akamuita mwenyekiti na mjumbe tukaafikiana na kufanya biashara.

Nikamtuma yule dogo wake aweke zile Bicon kubwa za kuonesha mipaka na gharama zote nilimlipa lakini kwa siku ile hakufanya na aliomba udhuru wa kwa nini hakufanya, nilimuelewa lakini kadri siku zilivyozidi ndivyo usumbufu ukaongezeka.

Nikaachana nae, nikaita fundi nikashusha material yote ya ujenzi baada ya kukamilisha msingi tu napigiwa simu kuwa kwa nini unajenga kwenye kiwanja changu...............

Baada ya kuwasiliana nae muuzaji wangu akanipa matumaini kuwa anakuja na aliyemuuzia yeye na full documents. Alikuwa anapokea simu na kuonesha ushirikiano nami lakini mpaka sasa hathubutu hata kupokea simu.

Nilienda ardhi na nikajiridhisha kuwa aliyeniuzia si muhusika. Yaani kichwa kinauma mpaka dakika hii.

Imenibidi nitumie laki5 nyingine kuhamisha tofali na mazaga mengine huku nikivunja ule msingi kwa gharama ya laki3..

Sijui hata hatua za kumchukulia huyu kiumbe. Halafu wala sio mwanaume.
Mle jicho huyo tapeli wa kike kupoza machungu ya pesa zako.
 
Waliwahi kutaka kumpiga mtu wangu mmoja wa karibu bahati nzuri akaniambia.

Nikamwambia waambie wakupe tracking number tu basi. Wakasanda.

Yeye mwenyewe akaona kama namzibia ridhiki. Akaambiwa mzigo umefika zanzibar tayari kuna oesa ya clearance TRA nikamwambia waambie wakupe CONTROL NUMBER ya kulipia TRA, tena wakasanda.

Nikamwambia kaa nao mbali , utaumia. Sikutaka tena kumfuatilia sijui aliishia wapi na watu wake
Ukishakuwa na experience ya kupokea mizigo toka nje hawakuwezi. Kuna sehemu tu wao watakwama.
 
Binafsi kuna mtu kanipiga milioni kama 6 hivi na ushee takribani miezi miwili nyuma.

Kuna dogo wake aliweka tangazo la kuuza kiwanja sehemu fulani hivi Dsm. Baada ya kuwasiliana nae akanipatia namba ya huyo muhusika.

Tulipokutana akamuita mwenyekiti na mjumbe tukaafikiana na kufanya biashara.

Nikamtuma yule dogo wake aweke zile Bicon kubwa za kuonesha mipaka na gharama zote nilimlipa lakini kwa siku ile hakufanya na aliomba udhuru wa kwa nini hakufanya, nilimuelewa lakini kadri siku zilivyozidi ndivyo usumbufu ukaongezeka.

Nikaachana nae, nikaita fundi nikashusha material yote ya ujenzi baada ya kukamilisha msingi tu napigiwa simu kuwa kwa nini unajenga kwenye kiwanja changu...............

Baada ya kuwasiliana nae muuzaji wangu akanipa matumaini kuwa anakuja na aliyemuuzia yeye na full documents. Alikuwa anapokea simu na kuonesha ushirikiano nami lakini mpaka sasa hathubutu hata kupokea simu.

Nilienda ardhi na nikajiridhisha kuwa aliyeniuzia si muhusika. Yaani kichwa kinauma mpaka dakika hii.

Imenibidi nitumie laki5 nyingine kuhamisha tofali na mazaga mengine huku nikivunja ule msingi kwa gharama ya laki3..

Sijui hata hatua za kumchukulia huyu kiumbe. Halafu wala sio mwanaume.
Pole sana,Je huyo Mwenyekiti na Mjumbe nae umewachukulia hatua gani
 
Kuna mtu kanitumia hii meseji whatsupp alianza hivi

"Hello my dear beautiful lady [emoji257][emoji112]you are here honestly looking good"

Code ya namba yake ni +229,nilipomwambia kwamba mimi sio lady umekose namba,akasema Okay, haina shida hata tukiwa marafiki tu,nikamwambia haina shida ,baadae akajitambulisha jina lake akasema anaishi Italy-liverpool.

Mimi sikutaja jina ila nilimwambia naishi Tz,basi kashukuru kwa kumuelewa.

Baadae usiku akanitumia tu meseji ya Goodnight brother,nilikuwa sijawasha data kwahio niliikuta asubuhi yake.

Baada ya hapo hajatuma tena meseji yoyote tangu siku hio Jan 22 2022.


Nilijaribu kuangalia hio code mtandaoni nikakuta kama ni nchi ya kiafrika hivi,kwenye Profile photo yake ameweka Mzungu.

Sasa huyu sijui nae ni tapeli au alikosea tu namba tu? na hio ni code ya nchi gani?
229 ni code ya nchi ya Benin
 
Back
Top Bottom