ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nibadilike wapi kuongoza darasani au kutoa michango 40kUbadilike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nibadilike wapi kuongoza darasani au kutoa michango 40kUbadilike
🤣 kile ni kipaji tu mkuu ata asipokula ye anajamba ata mashuzi saba kwa mpgo anatoa tuHAu alikuwa mtu wa viporo na maharagwe sana
Ahahahh😂😂😂Kwa nini umetumia picha yangu bila ridhaa yangu? Naomba ufute!
Chai imezidi Majani kwa KE anatolea mimbakansa kisa chai ssubuhi asubuhi mkuu
UkimyaNibadilike wapi kuongoza darasani au kutoa michango 40k
Sio dhambi kua mkimyaUkimya
Mimi nilisoma na jamaa wiki mbili kabla ya mtihani yeye Alikuwa hasomi kabisa, alikuwa anachukua vitabu vya sayansi na sisi tulikuwa uchumi, zilikuwa zikikaribia kama siku 5 kabla ya mtihani akija prepo anakuja na chaki.
Anaandika first eleven, yaani wa kwanz mpaka wa 11 kwenye matokeo alikuwa anasema hivi daaah mtihani huu kuna mtu namuona ananipania sana ngoja nimuonyeshe uwezo, anaanza kuandika golini nakaa mwenyewe namba moja namba mbili nampa mtu fulani. Mpaka wa 11.
Matokeo yakitoka alikuwa anakosea kuanzia namba 6 kushuka chini ila watu ni wale wale🤣🤣🙌🏻.
Hajawahi pata nafasi ya 3 yeye ni mbili au moja na anasema hakuna wakunipita humu.
Kwao kazaliwa peke yake na mama bado young sana.
• Alikuwa na kipaji sana huyo jamaa 😄,Matokeo yakitoka alikuwa anakosea kuanzia namba 6 kushuka chini ila watu ni wale wale🤣🤣🙌🏻.
Daddy ulikuwa unalala na housegirl?Kipindi nipo mdogo kuna housegirl nililetewa alikua anajikojolea halafu ananisingizia mimi.
nilikua nawachungulia tu siwadinyiDaddy ulikuwa unalala na housegirl?
Ulikuwa haumdinyi?
Huyo yuko kama mimi najamba sana.kuna mwamba kila mda anajmba yaan unaweza ukamuambia tu oya mwanangu jamba apo nakupa jero anatoa bonge la shuzi afu la mwendo kasi jamaa haishiwi nankijambo qmmke
😋😋😋 Unawachungulia papuchi?nilikua nawachungulia tu siwadinyi