BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Ukiwa mkimya sana wanaanza kukuita TISS, wakishindwa kukuelewa wanaanza kukufuatilia mpaka wanakuroga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🤔🤔🤔🤔Kulikuwa na mtu huyu, wakati wa kusoma chuo cha ufundi, alikua ni mtu ambaye tulikuwa darasa moja pindi tupo chuo, alikuwa ni mkimya sana na hajawahi kuchangia chochote wala kuzungumza na mtu yeyote darasani.
Alikuwa Hana makundi, alikuwa hana ushirikiano, alikuwa hana marafiki. Hakuna mtu aliyejua sehemu alipokuwa akiishi, hakuna mtu aliyejua chochote kuhusu huyu mtu isipokuwa jina lake. Tukiwa darasani alikuwa hajibu maswali ila mitihani alikuwa anapata alama za juu sana.
Alikuwa kwenye group la whatsapp la chuo na hakuwahi ku-comment chochote na siku tulipomaliza chuo alileft Group, Alikuwa haendi Kanisani/msikitini na wala hakujihushisha na dini yoyote. Tangu ile siku ya mtihani wetu wa mwisho, hakuna mtu aliyemwona au kusikia Alipo.
Alikuwa hazungumzi kamwe labda tuaze sisi kuzungumza naye, na mda mwingine anaweza kukupuuza. Kama kutakuwa na tukio fulani maeneo ya chuo mara nyingi alichangia mchango kuazia Tsh. 40,000 na zaidi, na alipenda kutumia jina la mtu asiyejulikana, hata akichangia hakuwahi kuhudhuria sherehe/tukio hilo.
Wasichana katika darasa letu walimchukia sana , kwa sababu hawakuweza kuwa naye kwa namna yeyote ile.
Wengi wetu tuliamini kuwa yeye ni Afisa Usalama anayefanya kazi katika serikali ya Tanzania ambaye lengo lake labda lilikuwa ni kufuatilia usimamizi wa chuo. Alijifanya kama mcha Mungu na aliheshimiwa na kila mtu.
"Obidux Baljidanz" alikuwa mtu asiyejulikana.
Je, ni watu gani wenye mambo ya ajabu, ambao umekutana nao?
🤣🤣 kwaiy mkuu unaweza ata ukajamba mara 5 kwa dakika tano mkuuHuyo yuko kama mimi najamba sana.
vipaji vya ajabu ajabu kuna mmoja nlimuona wasafi eti anajisifia ana kipaji cha kuzunguka dah nkacheka kishenzi😄😄, vipaji vya namna hiyo, huwa ni watu weusi
Ulikuwa unalala nae Mkuu?Kipindi nipo mdogo kuna housegirl nililetewa alikua anajikojolea halafu ananisingizia mimi.
Ulijuaje 😂Kipindi nipo mdogo kuna housegirl nililetewa alikua anajikojolea halafu ananisingizia mimi.
Alikuwa mcha Mungu ila hajawahi kuhudhuria msikitini wala kanisani. Alikuwa haongei na mtu kabisa ukajuaje ni mcha Mungu?
Hayo maneno umesoma wapi mkuu,??? 🤔Alikuwa mcha Mungu ila hajawahi kuhudhuria msikitini wala kanisani.
sikua mdogo sana, na nilikua namuona kabisaUlijuaje 😂
🤣🤣 itatokea kwenye jicho la tatu utashangaa unatoa mashuzi ya kunukia mchai chaiChai imezidi Majani kwa KE anatolea mimba
Mm Msela je iatokea wapi
Msi unajua mwaka usifungwe na bia pekee lazma zianze chai kwanza ndo zije bia
🤔🤔🤔🤔Karibu mkuu, Mkuu haujawahi kukutana na mtu wa ajabu?
inabidi ajitahidi sana asiende ata selo au jela itakua noma😄😄, hii ni maajabu
Kuna jamaa naye tulivyokuwa advance ilikuwa michezo yake anajikojolea alafu anamsingizia wa deka ya juu.sikua mdogo sana, na nilikua namuona kabisa