Umewahi kukutana na watu wa ajabu kwenye maisha yako? Walikuwa watu wa aina gani?

πŸ™πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Alikuwa mcha Mungu ila hajawahi kuhudhuria msikitini wala kanisani. Alikuwa haongei na mtu kabisa ukajuaje ni mcha Mungu?

Alikuwa mcha Mungu ila hajawahi kuhudhuria msikitini wala kanisani.
Hayo maneno umesoma wapi mkuu,??? πŸ€”

"Alijifanya kama mcha Mungu na aliheshimiwa na kila mtu."
 
Kuna mwanangu anaitwa Erick huyu jamaa hatari kwa kumbukumbu .Mpaka saa kaimeza yote kichwani.Hata umuamshe usiku ,umuulize saa ngapi sasa hivi.Utajibiwa tu ni saa saba na dk 14 ukicheki kwenye simu ni kweli.Sijui ni jini huyu au alien.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…