Umewahi kukutana na watu wa ajabu kwenye maisha yako? Walikuwa watu wa aina gani?

Umewahi kukutana na watu wa ajabu kwenye maisha yako? Walikuwa watu wa aina gani?

Nikiwa f5 nilikuta jamaa yupo f6 yeye alikuwa anslala saa 1 asubuhi anaamka saa 12 jion anaingia kusoma usiku kucha alinyosha div 1 ya kwanza ila ilikuwa na nyota nlikuja kumwona posta baada ya miaka 15 ni shoe shiner. Miaka ya 2000 alikuwa na soni erikson mkonga
 
Nikiwa f5 nilikuta jamaa yupo f6 yeye alikuwa anslala saa 1 asubuhi anaamka saa 12 jion anaingia kusoma usiku kucha alinyosha div 1 ya kwanza ila ilikuwa na nyota nlikuja kumwona posta baada ya miaka 15 ni shoe shiner. Miaka ya 2000 alikuwa na soni erikson mkonga
Jamaa alisoma kwa tabu sana 😟, Na bado maisha ya mtaani yakaendelea kuwa ya tabu vile vile 😢
 
Back
Top Bottom