Umewahi kumfanyia dharau gani boss au mwajiri wako?

Umewahi kumfanyia dharau gani boss au mwajiri wako?

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Mimi nakumbuka nikiwa nafanya kazi za u house boy, kuna siku mke wa bosi wangu alikuwa anatoka kwenda sehemu sijui kusuka ila akiwa getini anatoka mimi nilikuwa naangalia movie pale sebuleni akaniita, kaka naomba uniletee viatu vyangu huko baraza ya nyuma ya nyumba maana ilikuwa msimu wa mvua hivo alikuwa amevaa malapa.

Nikaenda kumchukulia nikamkuta ametoka nikafungua geti nikamuona yupo mita kama 200 hivi anaendelea kutembea nikarudi zangu Kutazama movie, si akamuagiza mtu aje aniambie nimpelekee viatu nikagoma kabisa nikaenda kulala.

Aliporudi mbona akawa mpole mwenyewe.
 
Me nilichelewesha kurudisha trekta kwa boss,halafu nilikua na mwanae hakuuliza sababu ya kuchelewa akaanza kunigomba na matusi juu. Tena mbele ya mke wake, hausi gelo, mabinti zake aaah, me nkaona hizi dharau sasa.

Nikavugumisha kifunguo kwenye maua halafu nikaondoka huku nikirusha mikono, maneno makali yalinitoka hata hakuamini alibaki ameduwaa.

Nakumbuka wakati napotea getini nilisema "familillah wallah ki trekta chenyewe ki sonalika halafu oldi modeli sio chakuninyanyasia mimi, ungekua na bombadia si ungetaka nikusugue mgongo wewe, potelea mbali"
 
Me nilichelewesha kurudisha trekta kwa boss,halafu nilikua na mwanae hakuuliza sababu ya kuchelewa akaanza kunigomba na matusi juu.
Tena mbele ya mke wake,hausi gelo,mabinti zake aaah,me nkaona hizi dharau sasa

Nikavugumisha kifunguo kwenye maua halafu nikaondoka huku nikirusha mikono,maneno makali yalinitoka hata hakuamini alibaki ameduwaa...

Nakumbuka wakati napotea getini nilisema "ki trekta chenyewe ki sonalika oldi modeli ndio chakuninyanyasia ungekua na bombadia si ungetaka nikusugue mgongo wewe,potelea mbali"
[emoji4][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Me nilichelewesha kurudisha trekta kwa boss,halafu nilikua na mwanae hakuuliza sababu ya kuchelewa akaanza kunigomba na matusi juu.
Tena mbele ya mke wake,hausi gelo,mabinti zake aaah,me nkaona hizi dharau sasa

Nikavugumisha kifunguo kwenye maua halafu nikaondoka huku nikirusha mikono,maneno makali yalinitoka hata hakuamini alibaki ameduwaa...

Nakumbuka wakati napotea getini nilisema "familillah wallah ki trekta chenyewe ki sonalika halafu oldi modeli sio chakuninyanyasia mimi, ungekua na bombadia si ungetaka nikusugue mgongo wewe,potelea mbali"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Me nilichelewesha kurudisha trekta kwa boss,halafu nilikua na mwanae hakuuliza sababu ya kuchelewa akaanza kunigomba na matusi juu.
Tena mbele ya mke wake,hausi gelo,mabinti zake aaah,me nkaona hizi dharau sasa

Nikavugumisha kifunguo kwenye maua halafu nikaondoka huku nikirusha mikono,maneno makali yalinitoka hata hakuamini alibaki ameduwaa...

Nakumbuka wakati napotea getini nilisema "familillah wallah ki trekta chenyewe ki sonalika halafu oldi modeli sio chakuninyanyasia mimi, ungekua na bombadia si ungetaka nikusugue mgongo wewe,potelea mbali"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaaj
 
Kuna Boss muhindi nilikuwa na m blue tick tu kwenye whasap.

Nilipoacha kazi hakutaka hata kuongea na mimi na mimi nilikuwa nampita tu mpaka nilipomaliza notice na nikasepa zangu
 
Me nilichelewesha kurudisha trekta kwa boss,halafu nilikua na mwanae hakuuliza sababu ya kuchelewa akaanza kunigomba na matusi juu.
Tena mbele ya mke wake,hausi gelo,mabinti zake aaah,me nkaona hizi dharau sasa

Nikavugumisha kifunguo kwenye maua halafu nikaondoka huku nikirusha mikono,maneno makali yalinitoka hata hakuamini alibaki ameduwaa...

Nakumbuka wakati napotea getini nilisema "familillah wallah ki trekta chenyewe ki sonalika halafu oldi modeli sio chakuninyanyasia mimi, ungekua na bombadia si ungetaka nikusugue mgongo wewe,potelea mbali"
Dah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Haikunitokea mimi ila rafiki yangu tulikuwa sehemu moja alipigwa kofi na bosi kwa sababu alisahau kuingiza yale mabegi ya salfeti yana picha ya daraja la uingereza sijui yale.

Rafiki yangu aligeuka, akaanza kutetemeka kwa hasira huku analia. Akamvamia akamtwanga kweli bosi huku analia. Bosi akaomba msaada huku anasema naua mtu njoo mnisaidie! mimi nikakimbilia kwenye upenyo fulani nikaanza kucheka.
Kumbe kuna wamama waliniona wakamwambia boss wetu kwamba nilikuwa nacheka upenuni wakati bosi anakula kipondo.
Siku ya tatu nikafukuzwa kazi bila sababu ila nikajua ni yale yale.

Mwaka 2018 tulikutana na yule bosi nikamkumbushia lile tukio aisee bosi bado ana hasira wakati tukio lilikuwa la 2004 huko tena mkoani.
 
Kwanj mabosi tuliowah kufanyiwa dharau na wajakazi wetu tunakomenti wap!?

Binafsi niliwahi kufanyiwa dharau kubwa sana na mfanyakazi wangu Miaka hiyo sitasahau kabisa


Kuna dogo nilimuajili kazi kwenye bar yangu kubwa tu Sasa siku Moja nimeenda kwenye hiyo bar nikakutana na pis Kali hatariiii nikaicheki dogo akaniuliza vip boss nimalize mm nakasema maliza jioni Kila kitu kiwe sawa.

Narudi jioni namuuliza dogo vip umemaliza dogo ananiletea daftar la mahesabu niliona dogo amenidharau sna nikawasha chuma nakuondoka kuja kujua baadae kumbe dogo alikuwa anakula mzigo.


Guess nilifanyaje
 
Haikunitokea mimi ila rafiki yangu tulikuwa sehemu moja alipigwa kofi na bosi kwa sababu alisahau kuingiza yale mabegi ya salfeti yana picha ya daraja la uingereza sijui yale.

Rafiki yangu aligeuka, akaanza kutetemeka kwa hasira huku analia. Akamvamia akamtwanga kweli bosi huku analia. Bosi akaomba msaada huku anasema naua mtu njoo mnisaidie! mimi nikakimbilia kwenye upenyo fulani nikaanza kucheka.
Kumbe kuna wamama waliniona wakamwambia boss wetu kwamba nilikuwa nacheka upenuni wakati bosi anakula kipondo.
Siku ya tatu nikafukuzwa kazi bila sababu ila nikajua ni yale yale.

Mwaka 2018 tulikutana na yule bosi nikamkumbushia lile tukio aisee bosi bado ana hasira wakati tukio lilikuwa la 2004 huko tena mkoani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Me nilichelewesha kurudisha trekta kwa boss,halafu nilikua na mwanae hakuuliza sababu ya kuchelewa akaanza kunigomba na matusi juu.
Tena mbele ya mke wake, hausi gelo, mabinti zake aaah, me nkaona hizi dharau sasa.

Nikavugumisha kifunguo kwenye maua halafu nikaondoka huku nikirusha mikono, maneno makali yalinitoka hata hakuamini alibaki ameduwaa.

Nakumbuka wakati napotea getini nilisema "familillah wallah ki trekta chenyewe ki sonalika halafu oldi modeli sio chakuninyanyasia mimi, ungekua na bombadia si ungetaka nikusugue mgongo wewe, potelea mbali"
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ulikuwa na hasira za wahehe
 
Back
Top Bottom