torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
kabla haujafika huo u boss ulikuwa kijakazi pia. dondosha komenti kwa kukumbukia hiyo position ya kijakaziSiku ukianzishwa Uzi wa ma Boss msiache kunitag.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabla haujafika huo u boss ulikuwa kijakazi pia. dondosha komenti kwa kukumbukia hiyo position ya kijakaziSiku ukianzishwa Uzi wa ma Boss msiache kunitag.
Tanangozi,iringa ndio nilipozaliwa kabla ya harakati za maisha kuwahamisha wazazi..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ulikuwa na hasira za wahehe
wewe ni chawa wa mwenye bar. Mimi nikifika bar ninayomiliki wananipapatikia.Kwanj mabosi tuliowah kufanyiwa dharau na wajakazi wetu tunakomenti wap!?
Binafsi niliwahi kufanyiwa dharau kubwa sana na mfanyakazi wangu Miaka hiyo sitasahau kabisa
Kuna dogo nilimuajili kazi kwenye bar yangu kubwa tu Sasa siku Moja nimeenda kwenye hiyo bar nikakutana na pis Kali hatariiii nikaicheki dogo akaniuliza vip boss nimalize mm nakasema maliza jioni Kila kitu kiwe sawa.
Narudi jioni namuuliza dogo vip umemaliza dogo ananiletea daftar la mahesabu niliona dogo amenidharau sna nikawasha chuma nakuondoka kuja kujua baadae kumbe dogo alikuwa anakula mzigo.
Guess nilifanyaje