Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Dhambi ni tamu kwa kitambo tu, baada ya hapo huzaa mauti au mateso makubwa moyoni mwa mtu.

Kabla ya kuitenda utafurahia kuitenda ila matokeo yake ndo hayo.
 
Afu kwa sheria za kibongo talaka inamuumiza sana mwanaume.

Unaweza kukuta nyumba uliojenga inabaki kwa watoto na mama yao na mama yao anamleta jamaa anakuja kumgonosha tena kwenye nyumba yako.

Child support unaendelea kutoa jamaa anaitafuna kama keki.

Wanaume tumeumbwa matesoooooooooooooooo
 
Msimshauri mwenzio hivyo.
Sasa wee mwenyewe umesema kabisa kuwa mume haenjoy tendo na wala hana amani sasa kama huna amani au furaha.

Why uishi na mtu kama hakupi furaha na amani ya moyo?

Wewe unafurahi hayo maisha mnayoisha kwa sasa?
 
Story umeiweka kama vile yule jamaa alikubaka, wakati mnasema kuwa mwanamke anamvulia anayempenda.
Hamna Sababu ya kuachana ila akubali kuwa mambo hayako kama mwanzo aishi kama hali ilivyo ila asikosee Tena maana itakuwa ndiyo mwisho wa ndoa yenu. Kila unachofanya fanya kwa uwazi bila kuficha chochote. Itarudisha Imani pole pole.
 
Yaani wee midume ukamlawiti mwanaume mwenzio kisa mkeo kapanua mapaja mwenyewe huko ni kukosa akili.
Pili ni ujinga kujidanganya kwamba mwanamke ambaye unamuoa akiwa breki pumbuz kwamba hatachepuka. Thats just being unrealistic. Ukweli ni kwamba wengi wetu tupo kwenye ndoa lakini hatuna sifa kuu ya kuwa kwenye ndoa. Haya sasa akimwacha huyo mke wake ataenda kwa mwanamke mwenginnaye huyo akitombwer atamuacha sasa sii bora tuu asioe awe anageheda tuu kama mzabzab
Nakuuliza kila siku husikii hizo kesi?yule jamaa (popoma mwandamizi)aliyekatwa kidole pale kawe umemsahau?watu wanapigwa mpaka chuma usijidai hujui.
 
Back
Top Bottom