Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Haya kwanini msiendelee na hutakiiwi Tena nyie mmekuwa wazazi tu wawatoto na nibora iwe hivyoi tu .Ilitokea mara moja dear,
Hatari sana. Mimi niliona wife kam wish happy birthday ex wake kwenye Facebook halafu akaweka emoj ya kopa. Jamaa nae nashukuru halafu akamalizia na emoj ya kopa. Tangu siku hiyo sina hamu nae, kama nisingekua nimezaa nae mtoto ningemuacha aendelee na ex wake.Naamini huyu mama alijua kabisa kuwa anaenda kufanywa,lakini hapa anajiliza tuu ili aonewe huruma.Mtu ameshakutongoza,anakuambia njoo nyumbani ufate computer yako unaenda?Bahati yake ni kuwa huyo jamaa hajavunja ndoa.Lakini hawezi kuwa sawa.Imagine mie nilikamata tu conversation za wife akitongozwa tu,hakuna mahala amekubali,lakini Sasa ni miaka miwili bado siko sawa[emoji22].
😅😅😅Utapata usijali jf kuna wanaume wastaarab sana na wanaojielewa
Hiyo hiyo furaha ataipata kwa mwingine sio wewe,sisi wanaume ndio tumeumbwa hivyo..tena shukuru huyo mimi ningehama nyumba kesho yake na kuanza maisha mengine.Thanks dear.
Naumia sana kwani naamini still ana maumivu sana my hubby.
Naitaji awe mtu wa furaha kama mwanzo please wanawake wenzangu naombeni ushauri.
Halafu mbona siandiki maneno ya hovyo yako? Ukiandika bila kuweka maneno yenye ukakasi huwezi eleweka kwani? Naona unajibu kwa hasira kama mkeo ndiye kachepukaNdio kasharidhika sasa. Wewe kama mke uridhiki basi sawa katombwe huko nje ila ndio kama hivyo ukikamatwa usianze tena kutaka mume akuchukulie kama awali. Au kama vipi sii unamchana tuu mume aisee nimevumilia ila naona huwezi nitomber vizuri wacha mie niondoke zangu.
Itakua alikua nyaa imechafua nguoHii ni chai, happ kwenye kulowa nyuma ya sketi umepakazania sana kuna namna,, mambo yako kasi sana
Maneno gani yana ukakasi tena hapo.Halafu mbona siandiki maneno ya hovyo yako? Ukiandika bila kuweka maneno yenye ukakasi huwezi eleweka kwani? Naona unajibu kwa hasira kama mkeo ndiye kachepuka
Hakunaga msamaha kwenye hilo labda kma huyo mwanaume anaumwa kisukari[emoji16]Pole sana
Ila dada wiki tu ndo ucheat Jamani wiki hii siku saba au?
Ongeza upendo Kwa mumeo Ishi ukiamini amekusamehe
Jisamehe toka moyoni omba sana Muombee mumeo pia
Ukimpa ndiyo atakuona ushakuwa Malaya uliyekubuhu, atakuacha kabisaKuna dada mmoja alinishauri hivyo ila niliona hapana.
AsanteUmeukubali ushauri sa kipuuzi huo bibie, mume anajli sana huyo akimpenda mtu, huyo manzi utakaemtafutia akimpenda kweli na wakapendana wewe ndo utaondoka mazima.
Nyie si ndo mnasemaga mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzie.
AsaUmeukubali ushauri sa kipuuzi huo bibie, mume anajli sana huyo akimpenda mtu, huyo manzi utakaemtafutia akimpenda kweli na wakapendana wewe ndo utaondoka mazima.
Nyie si ndo mnasemaga mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzie.
OkMda tunajaribu kubalance mbona huyo alikuwa anagegedwa mpaka mume anatoa chozi la utamu. Anaenda nae out kama familia.
Sasa sometimes na wewe kama mke jiongeze unamwambia mume leo nataka nikutoe out na watoto unamkabidhi hubby laki mbili alafu unamwambia tukirudi i have a suprise for u. Uone kama jamaa hatatenga muda for u
Usitarajie kuirejesha amani tena ndani mwako, mimi ni mwanaume najua, lazima utazeeka na hilo kovu ktk familia yakoHabari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.
Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.
Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.
Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.
Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.
Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.
Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.
Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.
Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.
Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.
Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.
Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.
Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.
So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.
Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.
Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.
Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.
Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.
Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.
Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.
Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.
Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.
Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.
Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.
Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.
Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.
Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.
Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.
Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.
Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.
Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.
Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.
Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.
Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.
NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
[emoji28][emoji2] stori inachekesha na kuhuzunishaKula chuma hicho.
Kiufupi Hapo Things will never be the same again. Yaani Watu wamesema huko Juu umeyakanyaga.
Hii Inanikumbusha kisa kimoja kinachoendana na Chako. Hii ilimpata Mwanaume ila Tukahisi na kuhitimisha kwa upande wa mwanamke ilikua kama Ulivyosema hapo juu. Huenda ni wewe.
Kuna Mwamba Mmoja alikua Muaminifu sana kwa mke wake. Akitoka Kazini ni Straight home, Hana makandokando yaqni Vijana wa mjini wanasema Mwamba hakua na mbambamba. Kama ikimbidi juwa nje ni kwa sababu Maalumu sana Labda anaangalia mpira na jamaa zake na Ikifika saa 12 jioni hata kama Mpira haujaisha atawatotoka kurudi nyumbani kwa mkewe.
Huyo mkewe alikua akifanya Kazi sehemu ya mbali na walipokua wakiishi hivyo alikua anakuka siku za Wikendi tu ama akiwa na Likizo.
Maisha yakaenda hivyo miaka na miaka. Mwamba alikua anashangaa sana wanaume wenzake wanawezaje kuchepuka na bado wakarudi nyumbani kwa wake zao as if nothing happened! Mwamba akageuka mtoa Nasaha kama Mama Terry kwamba Wanaume tuwapende wake zetu, unachokitafuta nje ndani umekiacha, nje unachepuka kwa mashaka na unafuja pesa, ukirudi nyumbani Unakula halafu unamla na mpishi pia kwa raha zako. Akaenda mbali na kusema hakuna siku atakayomsaliti mkewe. Wanaume tukawa tunaitikia Tawire baba.
Ikatokea siku tupo mtaani stori mbili tatu mara akapita dada mmoja wa haja kiasi cha Kugeuza macho ya wanaume wote wenye minara imara. Mwamba isivyotegemewa akaenda kuomba namba na mengineyo.
Fast Forward, walianzisha mahusiano na ikawa ni Utaratibu kila wikendi lazima wakutane sehemu kulila lile tunda tamutamu.
Kamati Ikakaa kujadili, What happened to Mwamba?? It's Unlikely of him to behave in such a manner. He, who used to condemn adultery and sorts of uchepukaji ameenda kuwa niaje?? No way kuna kitu hakipo sawa sehemu.
Ikawa Miezi ya Uchepukaji, Kiutani utani mwaka ukafika mara miaka. Muda wote huo Kamati inahoji WHY Mwamba awe hivi! What went Wrong?! Mwamba akiulizwa anajibu Haya maisha ni yake na sisi tushughulike na yetu. Zaidi ya Yote We only Live Once, wacha avinje mifupa wakati meno bado iko.
Siku Tunashtukia mke wa Mwamba yupo tu nyumbani. Kumbe tangu Mwamba ameanza michakato yake ya Uchepukaji kama miezi miwili mbele mke aliacha kazi katika mazingira ya kutatanisha. Mke alikua mtumishi wa serikali. Na walikua na mtoto tayari.
Tangu wakati huo mke ni mama wa nyumbani na Mwamba akiulizwa hana majibu yanayoeleweka, Sasa anakaa nje (mwamba) mpaka usiku na wala hajali tena kuwahi kurudi nyumbani. Mwamba amekua team mla kiMasikhara. Anachakata mbususu mno.
Inaonesha kuwa Mwamba alipigwa na Kitu kizito ambapo mke aliliwa huko mazingira ya kazini na Mwamba akajua. Ili Kuinusuru Ndoa mke akaamua kuacha Kazi. Na Mwamba mpaka Leo hii hajarudi kuwa kama zamani. Uchakataji wake ni wa kasi sana anawashinda mpaka wale aliokuwa anawapa mawaidha.
Yuko zake busy kusaka next mbususu.Yule malaya mwenzio alikusaidiaje baada ya ndoa yako kuingia dosari?
Imeniuma mno yaani mwenyewe Ni mme wa mtu. Ila mpaka nimeogopa kutongoza mke wa mtu ingawa Nina mchepuko mke wa mtu Ni mwanamke mzuri mnoHabari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.
Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.
Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.
Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.
Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.
Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.
Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.
Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.
Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.
Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.
Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.
Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.
Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.
So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.
Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.
Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.
Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.
Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.
Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.
Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.
Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.
Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.
Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.
Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.
Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.
Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.
Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.
Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.
Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.
Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.
Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.
Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.
Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.
Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.
NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.