Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Hiyo ndoa imeshajifia inatembelea ringi
 
Usijaribu atakupa sumu akuue

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Boss Boko haram, unawashaurije sasa wale wanaokula wake za watu "kimasikhara" 😁😁
 
Boss Boko haram, unawashaurije sasa wale wanaokula wake za watu "kimasikhara" [emoji16][emoji16]
Hao waendelee tuu ilaa Mapangaa yatawahusuuu...[emoji1787][emoji1787]
 
Nikupe ushauri mgumu lakini inahitaji uwe na moyo kweli kweli kama bado unapenda uendelee kuwa na huyo mme wako.....ni hivi kwasababu unajua mme wako anapenda sample zipi tafuta mdada pini, mpange ikiwezekana mlipe vizuri mkubaliane atembee na mume wako, tengeneza mazingira uwafumanie au agundue kuwa unajua anacheat, jifanye umemind sana, na mlaumu kwamba amekucheat kwasababu analipizia, kama atashuka na kukuomba msamaha mpe muda alafu msamehe kwa masharti kwamba msije mkarudia tena makosa mliyofanya, hapo mchezo utakuwa umeisha bila bila na maisha yatarudi kama kawaida, angalizo, angalia tu asije kunogewa kwa huyo mdada na akakukimbia mazima so mpange vizuri sana huyo dada.
 
Hao waendelee tuu ilaa Mapangaa yatawahusuuu...[emoji1787][emoji1787]
Umewapa uwanja wajikaange wenyewe. Bro mbinguni utapasikia tu 😁😁😁
 
Kupitia Uzi huu wanaume wengi wanaokena wanapata hasira sana wakitombewa wake zao na wanaume wenza,
Sasa imagine ndio Mke akusingizia mtoto amabye sio wako...nadhani unaweza mpeleka Mke na mtoto kwa Mungu Baba siku hiyo hiyo.
 
Jamani Dada zetu mjifunze kupitia Uzi huu,mfanyie Mwanaume chochote upendacho but sio kimpakizia mtoto au Ku mcheat mtajuta maisha yenu yote
 
Akati Niko shule miaka hiyo Kuna jamaa alikuwa anaimba music ,ni msanii wa mbele, alikuwa anasema hivi,. ;there is no excuse my friend,for breaking my heart x2,,,,mi nilielewaga hapohapo tuu,




Ila mumeo ana Tabia zote za kiume, asilimia 97 he is the man, hizo tatu ni za kuwasikiliza wazazi,


NB:nyie wanawake epukeni sana kuwasaliti wanaume ambao hamjawai kuwaona na michepuko Wala kushika sms za mapenzi katika cmu zao,na simu zao Zina Tabia sawa na remoti za tivii sebuleni,Haina pass word na Kila mtu anatumia, Hawa Huwa Wana mambo machache akijua umemsaliti, 1)akuache hata ulie vipi 2)akuue kabisa, 3) ajiue ,,,,,chunguzeni ,,,,,
Huyo mumeo ni kitu Cha hatari mpaka hapo, ukichunguza lazima alikuwa na Tabia hizo, Omba Mungu,



Kumsaidia mruhusu atoke nje, anaweza akarudi au asirudi,mana pia ni wacheshi kwa watu waliowazoea ,ila wapole sana kwa wageni unaweza SEMA Huwa haongei, ni watu wa mood, akitoka anaweza akabalance hisia kwamba kumbe ni kawaida tuu, au akakuona wa ovyo zaidi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…