Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Na nyie muwe mnawapa wake zenu nafasi hata yakuwasikiliza ona sasa mpaka mke anafanya mazoe na wanaume wengine, mme unakuwa busy kumzidi hata pm
Kuna jamaa yuko tofauti sana na wanaume hasa wa bongo.

Akiwa kazini, akitaka kwenda lunch, anamwambia kabisa mkewe asipike, watakwenda out for lunch.

Sasa sisi lunch unaalika kimada au mfanyakazi mwenzio hasa wa jinsi tofauti. [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Aibu nimeona mimi
 
Kwa huu upuuzi hata ningekuwa Mimi ndoa ingelivunjika kwanza mengne ndyo yanafuata,

Mme wako ni mtu mwenye busara Sana hata Sasa kukaa na wewe Kam MKE, pili kosa ulilolifanya Kwa kuacha kazi napo ulikosea Sana otherwise hiyo kazi iwe ilikuwa kwenye private sector.
 
Hata akae miaka 100 naaongeze upendo mata 1000, mwanaume akisahau na kirudisha mapenzi kama mwanzo, nipo pale.gharama za kutunza na kupenda mke au mtu baki ni ngumu ila ndio uanaume tutafanyaje
Hivi ingekuwa mwanaume ndo kakosea ingekuwaje
Kafanya Kosa sawa na kaomba msamaha katubu kuwa kakosea anataka mkewe afe Kwa presha tu 3yrs nyumba Hana amani

Akitaka apewe atention ampotezee kwanza wanasema ukikimbiza kinachokimbia ndo kinazid kukimbia kuondoka awe busy na mamboyake alee wanae ale vizuri ananepe apendeze mume ndo ataamua kusamehe au kutosamehe ukijitirisha huruma Huwa mnajiona nyinyi ndo malaika kumbe wapi
 
Tafuta ustaadh fundi amchomee ubani🤗🤗.
 
Hahahaha....Kazi..Mimi Jamani ex ni mwanzo Wa term account no kulipia ada mtoto , visiting day,gharama za mtoto na mwisho mwisho term nauli ya mtoto baasi...!!!
Staki Mimi kujiharibia Kazi mbaya ukiwa nayo..
 
Pole sana kwa kweli, Binafsi imeniuma sana hadi nikaamua kuandika.
Wengi watakulaumu ila mimi niseme ni kweli ulifanya makosa
ila bado hayo makosa yanaangukia kwenye ubinadamu wa mwanadamu.
Binafsi namlaumu pia huyo mpenzi wako wa muda mfupi aliyekusababishia maumivu ya muda mrefu.

Wanaume wenzangu tuna mambo mengi ya kujifunza na kutubia kupitia uzi huu.
Najiuliza,je mwanaume unapata wapi ujasiri wa kukaa na mke wa mtu hadi usiku wa saa mbili
na unampa majibu mepesi ya kwenda kumjibu mme wake,eti utasema nilikuwa kwenye kikao?

Hili si kwa wanaume tuu,pia na wanawake wanaowamendea waume za watu,nakumbuka miaka ya nyuma mdada mmoja alikuwa ananishawishi nimcheat mke wangu,nilipomwambia nimeoa akaniambia nijiamini kama mwanaume.
,akasema maana wewe ndo mwenye nyumba na maamuzi unayo wewe.Duuh,nilishangaa sana
nikawaza,nikishakuwa na mgogoro na familia yangu yeye atakaa pembeni aone mwisho wake.
na si ajabu alitaka mgogoro usababishe nimfukuze mke wangu nimuoe yeye!!!!

Niwashauri wanadamu wenzangu kwamba.kama imeshindikana kujizuia,basi heshimu
misingi ya maisha ya wawili walioamua kuishi pamoja,
ukiwapotezea upendo wao hata kama utajitahidi kumtunza huyo mke wa mtu.,huwezi
kuwatunza watoto wake ambao siyo mali yako.
 
Rais wa kataa Ndoa😂😂

Soma hii comment.
UTANielewa tuuu

#YNWA
 
Wanawake wanaotoa tigo ni mashoga waliosahaulika, likumbuke hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…