Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Ah wee nae unazungumza from perspective ya usingleness. Huyu mke yaani amezoea akigeuka tuu de libolo hili hapa analipanda🤣🤣🤣🤣 so wiki ndefu dada usichulie poa
😂😂Sawa sijakataa lkin lazima waelew kunawkat mume anaweza kuwa mgonjwa au lah akapata changamoto yoyote ya kushindwa kukutumizia hitaji la kimwili Kama mlivozoea
Lakini MUNGU amsaidie kesi yake nzito sana
 
Generally nyie wanawake ni dhaifu sana
Jibu ndio hilo mwanamke akijilengesha ukamuwahi kumkamata moja ya titi lake linalopokea mapigo ya moyo basi analegea na ukilinyonya hilo titi analegea kabisa unamchojoa kitu ndani, ndio kilichotokea kwa huyu mtoa mada jamaa alitumia huo udhaifu akaminya maeneo ambayo mwanamke ukimminya hakunyimi chini hata km anaolewa leo
 
😂😂Sawa sijakataa lkin lazima waelew kunawkat mume anaweza kuwa mgonjwa au lah akapata changamoto yoyote ya kushindwa kukutumizia hitaji la kimwili Kama mlivozoea
Lakini MUNGU amsaidie kesi yake nzito sana
Huyu alitaka de libolo la huyo kijana haiwezekani mtu usiempenda utalowesha kyupi hadi skirt na kugegedwa masaa yote hayo
 
Mkiulizwa swali la maana mnakimbilia kwenye umri mtoto wa darasa la Pili anaweza kukuuliza swali km hilo ? Fikri nje ya box mkuu unapoheshimiwa na wewe tunza heshima yako usijishushie heshima kwa Mambo madogo madogo na usipende ugomvi usio na faida
Swali lako ni la kijinga,hii mada inahusu mke wa mtu haihusu tabia ya mke kabla ya ndoa,

Kwahiyo kama mke ukimkuta sio bikra ndio awe anatiwa tu na wewe uwe unaona sawa kisa ulimkuta sio bikra? Hivi wewe ni mzima kweli?
 
Meneo gani hayo mkuu na mie nokale mke wa mtu
 
Pole kifupi kwa sasa wewe ni malaya kama malaya wengine mbele ya mumeo..
Hivyo ndivyo anavyokuchukulia na itaenda hivyo kwa muda mrefu sana..

Kama unabisha wewe jaribu kumwambia kwamba unaondoka umechoka anaweza hata kukusindikiza hadi stand kabisa..
 
Swali lako ni la kijinga,hii mada inahusu mke wa mtu haihusu tabia ya mke kabla ya ndoa,

Kwahiyo kama mke ukimkuta sio bikra ndio awe anatiwa tu na wewe uwe unaona sawa kisa ulimkuta sio bikra? Hivi wewe ni mzima kweli?
Loint ya mwana ni kwamba kama mke hakuwa bikra basi suala la mke kugegedwa inapaswa isiwe jambo la kushangaza
 
Nachojua mme wako yumo humu na unajua, unachofanya ni kuandika na kudanganya ili asome aone hukutaka, japo ukweli unaujua mwenyewe
Sisi wanaume tukimpenda mwanamke kwa Royalty af tukagundua hayuko royal tunaumia sana, bora uoe malaya hata akikucheat hatutoumia sio nyie waigizaji
 
huyo ushahalibu ,biblia inasema na mwanaume asi mwache mwanamke isipokuwa kwa dhambi ya uzinzi tu.we fikiria mpaka biblia imekazia kabisa kuhusu kuchepuka sa unasubili nini hapo. bora usepe maana ndoa umeshaivunja kwa mikono yako mwenyewe, kaz umekosa na mume umekosa
 
Hapana,siyo wivu.
Ninachoamini mimi ni kwamba sisi wanaume huwa tunawaamini sana wake zetu kiasi cha kuwashirikisha kwenye mambo ambayo ilitakiwa yawe siri. Sasa inapotokea kafanya usaliti mambo ya kuwaza ni;
1 Mmewe nina mapungufu gani?
2 Kamuambia huyo hawara yake siri zangu ngapi?
3 Je,walianza lini,kabla ya kumuoa au baada?
4 Huenda hata fedha zangu anatumia huyu hawara yake (mfano huyu dada alikuwa akiwekewa mafuta kwenye gari na mmewe lkn hilohilo gari ndo lililompekea jamaa maku) ikumbukwe mmewe anatokwa jasho for the betterment of his family,sasa hili ndo baya zaidi.
5 Huenda jamaa kakosana hata kutengana na ndugu zake kisa huyu mkewe,lkn leo analipwa usaliti,km siyo kumtafutia kifo ni nini malengo ya mkewe?( Maswali ni mengi sana na mkewe hana majibu). Wanaume hatuna wivu,bali hatupendi kudharauliwa na tunaowaamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…