Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Aisee....kumbe huko makazini mnaliwa tuu kirahisi hivyo.
Kwanza huyo mume wako naye bewege.

Ssa anakasirika nini mke kwenda kutombwer nje...sii anaonja de libolo tofauti.

Ebu mwambie aache ushamba bwana. Karne ya sasa haya mambo ya kuchapiwa vitu easy tuu.

Ni kukaa chini na kuulizana sasa bby umejifunza style gani mpya huko
Kwamba aulize "Nipe staili mpya uliyotoa/uliyofundishwa huko?"

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dada pole kwa yaliokukuta,
Kwa kawaida sisi wanaume tuna wivu sana kwa wake zetu.

Yani mume akijua mkewe analiwa na mtu mwingine daa tunapata maumivu makubwa sana.

Tena tunaweza tusisahau maishayetu yote.

" ni bola kuwa mchafu hata pia kuwa hujui kupika lakini si kwenda kutoa utamu kwa kidume kingine".

Kusahau ni MUNGU mwenyewe tuu ndo anaweza kutusaulisha.
Basi kama ndo hivyo basi mume mwenyewe awe mzizi sana ndo atachukulia kawaida.

Ndo maana wanawake wanaotuelewa sisi wanaume kuwa tunawivu sana akitaka kucheat.

Anakuwa makini sana, wengi wanategea mume labda awe amesafiri kikazi ndo anacheat.
Au wengi wanacheat Asubui au mchana.

Wanawake wanaocheat jioni na night ni wachache sana kwani mume wake ni rahisi kumsitukizia.

Pole dada, vumilia tuu.
" Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenywe"
Nimependa hizo ratiba za asubuhi na mchana zimekaa poa sana
 
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
Dah inaumiza sana kama ni mume alafu ulimuamini sana mkeo na kumheshimu na kumthamini kufanya kitendo cha kucheat... dah
 
Dada mmeo hatapona kwa kumfanyia mambo ya nje ya mwili,mmeo kaumia nafsi.Hivyo inahitajika nguvu ya kiroho kuponya majeraha yale so ushauri wangu okoka ili upatanishwe na Mungu akusaidie jinsi ya kumwombea ndipo utaokoa ndoa yako hivihivi utajikuta umepoteza kila kitu
Wewe ndio umemaliza kila kitu . Mungu akubariki sana
 
Km hamjui kuchepuka msichepuke mtakatwa shingo! Labda umpate mume bwege km countrywide yeye hadi mimba kwake sawa, sababu ana kibamia kimelegea hana jeuri ya kukufukuza
 
Natetea gender KE kwani shingapi arifu yaani leo nina mtoto wa kike nikubali aonewe hivi kisa mi ni mwanaume.
Haki iwe sawa kwa wote.
Unafikiri Nan Hana watto wa kike? Hata mm ninao wawili,ila ujinga hapana
 
Wanalika sana.maofisini. Kuna rafiki yangu anakula mke wa mtu, anafanya nae kazi. Tena mume wake akisafiri huwa anenda kulala nae kabisa mpaka morning

Sema ni mkeo ndio mwenye tabia hizo usizunguke mbuyu
 
Ninyi ni chumvi ya dunia; lakini chumvi ikiwa imeharibika itatiwa nini hata ikolee? Haifai tena kabisa, ila kutupwa nje na kukanyagwa na watu.

Mathayo 5:13

Amen [emoji120] Baba mtu mtumishi

Mshauri na countrywide ajitahidi kulizisha wapenzi wake kwa bed ili wasitoke nje akaanza kujiliza hovyo
 
Hilo ni jeraha la ndani huwez mponya Kwa vitu vya nje. Kila dhambi Ina gharama yake ya kulipa.
Jipangie ratiba, ya kuomba na kufunga kumuombea Mungu amponye huo Moyo ili akae sawa.
Tena sio tu kumuombea akae sawa, uombe Toba Kwa Mungu Kwa kuruhusu uovu ukapita hapo, na umebomoa nyumba yako Kwa mikono yako, hakikisha unaomba Toba vizuri,

Cz wewe umesababisha wewe usimtafute shetan hapo,

Sijui Mungu atakujibu lini, ila atakujibu, hiyo iwe ni agenda yako ya maombi Hadi uone matokeo Kwa Macho.

Usikemee shetan na tayar ulimpa uhalali wa kuingia ktk ndoa. Omba Toba Ili Mungu akusaidie.

Sababu unaweza fanya yote, moyo wa binadamu kaumba Mungu, na yeye ndiye anaweza kuufinyanga tena. Huwez mbadilisha Kwa akil zako huyo mumeo.

Usitegemee uombe siku Moja ukaacha, ugonjwa unaingia Mara moja lakini dawa inafany kazi Kwa siku kadhaa, inategemea na aina ya ugonjwa
Asante
 
Kama huyu mwenye Uzi ni Mpuuzi mmoja....Yaani Hana hata haruma kalowalowa tu kizembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mgeni wa kuchepuka na kakutana na dawa ya madoa sugu [emoji1787]
 
Back
Top Bottom