Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Auze furaha yake kwa jitu bandidu kiasi hichi....yaani jitu limeshindwa msamehe limempeleka hadi kanisani na kwa wazazi eti nimechapiwa linaelezea watu na kumfedhesha dada wa watu ndiyo maana mwanamke anayejielewa yaani modern woman kwenye hili lazima atamove on kimya kimya bila msamaha.

Wadada wakibongo nilisha sema mwanaume ukiwa na pesa wanajizima data na kuuza furaha zao, what a nonesense. Nilishaandika uzi juu ya wadada hasa wabongo kuwa mwanaume ukiwa nazo anakuona wewe ndiyo cake, please ladies jifunzeni kumove on nakuwa independent kwenye life lenu.

Natamani wise lady asome hapa ataelewa point kubwa niliyo andika hii ni kubalance gender at high degree.....yeye men akikosa vinaishia chumbani na kanisani havifiki ila kakosa mwanamke wa kiafrika yaani mpaka mtaa na mkoa na nchi vinajua. What a holeshit!....

Mzungu mwanamke akikucheat wewe mwanaume ukajua, huwa huyo mwanamke hana mambo mengi anachukua begi zake na kila kilicho chake anaondoka kwako wewe mwanaume anakuacha upambane na life lako.

The right apologize to her is to go and move on akijua kwako wewe mwanaume amesha haribu kwa kukosa na hawezi kuuza furaha yake kwako wewe mwanaume au kukuomba msamaha ambao ni useless help na kuzalilishana makanisani.

Mademu wa kizungu hawataki jam zaidi ya kuadmit mistake na kumove on.....

Huyu dada miaka mitatu na nusu kashindwa kumove on mpaka jamaa anampeleka kanisani na kumuitia wazazi na mwisho wa siku dada anaacha kazi ya mshahara wa laki 5.5.....yaani ingekuwa dada zangu wakichagga wasingefanya huu upuuzi....yaani huyo mwanaume ana nini cha maana sasa mpaka awe ruba kwako na kukuharibia maisha haya mafupi. Labda awe anakojoa dhahabu. Jifunze kumove on dada japo ashakuharibia.
Nani aliyempeleka mwenzie kwa ndugu: mwanaume ama mwanamke?

Halafu mkuu, upo ama ulishawahi kuingia kwenye ndoa?
 
Nakupa ushauri wa kiume:-
  • Uliyechepuka naye hakupendi, bali alikuwa anakutamani ndio maana hakuangalia usalama wako, inawezekana manii zake alikumwagia kwenye hizo nguo zako ili akukomoe (akuchafue); angekuwa anakupenda angejitahidi chup.i na nguo uliyovaa isipate kasoro; zaidi tu ya ku...m.a kushibishwa kwa uji mzito.​
  • Kumrudisha mmeo kwenye mstari, inawezekana lakini mpaka mtakapomfanyia umafia huyo aliyeharibu ndoa yako. Na hii mshirikishe mumeo, namna huyo jamaa alivyokurubuni mpaka akakuvua chup. Baada ya hapo andaeni kikosi kazi, jamaa aingie kwenye 18, apigwe nyuma kama fundisho; hapo mapenzi yenu yatarudi kama awali.​
 
Nakuelewa kuwa ulipitia kipindi kigumu sana na unaumizwa na hali ya ndoa yako. Ni muhimu kutambua kuwa hali hii imekuathiri kwa muda mrefu na inaonekana unapenda sana mume wako na unatamani kurudisha uhusiano wenu wa awali. Hapa kuna ushauri wa jumla ambao unaweza kuzingatia:

1. Mawasiliano: Ni muhimu kuwa na mazungumzo ya wazi na mume wako. Eleza jinsi unavyojisikia na jinsi unavyojisikitisha kuhusu tukio lililotokea. Eleza kwa kina jinsi unavyompenda na jinsi ulivyokosea. Toa mwanya wa mazungumzo na sikiliza pia hisia na maoni yake.

2. Uaminifu na uwazi: Onyesha uaminifu wako kwa mume wako na uhakikishe kuwa hali kama hiyo haitajirudia. Kuwa wazi juu ya hisia zako na tamaa yako ya kurekebisha uhusiano wenu. Weka mipaka na hakikisha kuwa unatekeleza ahadi zako.

3. Usikivu na kuelewa: Jitahidi kusikiliza na kuelewa hisia za mume wako. Anaweza kuwa ameumizwa sana na kuvunjika kwa uaminifu na inaweza kuchukua muda kwake kupona. Kuwa na subira na muonyeshe kuwa unathamini hisia na maumivu yake.

4. Kujenga upya imani: Kurejesha imani katika uhusiano wenu itahitaji muda na juhudi za pamoja. Weka mkazo katika vitendo vyenye uaminifu na uwazi. Tengenezeni muda wa kukaa pamoja na kufanya mambo mnapofurahia na kukuza upya uhusiano wenu.

5. Msaada wa kitaalam: Ikiwa unahisi kuwa nyinyi wawili mnahitaji msaada wa ziada, fikiria kumwona mshauri wa ndoa au mtaalamu wa saikolojia. Wataweza kuwasaidia kufanya kazi kupitia changamoto zenu na kutoa mwongozo unaofaa kulingana na hali yenu maalum.

6. Subira na uvumilivu: Kurejesha uhusiano wa awali baada ya kuvunjika kwa uaminifu ni mchakato mgumu na unachukua muda. Kuwa tayari kuvumilia changamoto zinazoweza kutokea na kuwa na subira katika safari yenu ya kujenga upya imani na upendo.

Ni muhimu kukumbuka kuwa kila uhusiano ni tofauti, na hakuna suluhisho moja sahihi ambalo litafanya kazi kwa kila mtu. Ni jukumu lako na la mume wako kufanya maamuzi yanayofaa kulingana na hali yenu na kujitahidi kuimarisha uhusiano wenu.
Yote haya hayana maana kama mwenzake hayupo tayari. It takes two to tango.
 
Mwanamke mwenzeni anaomba msaada wa mawazo mliotumia ktk kurudisha amani ktk ndoa yenu, baada ya kumsaliti.
 
Tusikilize wadhamini wetu kwanza...

tt.jpg
 
Mademu bwana. Yaani mwanamke akishakuwa anajibishana na mwanaume jua tayari ameshamuelewa na wanaelekea kupeana utamu mwanaume akikaza.

Sasa ulipokuwa unaenda kwa jamii ulijua kabisa kuwa unakwenda kutombwa ila ni swala la muda tu ukifika pale.

Jamaa anakuchezea hadi unaloana ina maana tayari ulishakuwa na hisia nae ndio maana unaenjoy yeye kukupa game.

Halafu unatombwa tokea saa tisa hadi saa mbili ina maana muda wote huu ulikuwa unafurahia huwezi fanya mapenzi na mtu kwa masaa kama haufurahii.

Ina maana kuna muda ulikuwa unaikatikia na unapata utamu wake. Inachomoka unairudishia mwenyewe kwa kuichomeka. Unatoa milio ya utamu, unamtazama jamaa usoni, unamkiss shingoni, unamlamba, unanyonyana nae ulimi na midomo, yaani full kupeana utamu.

Halafu unatoka hapo unaenda kuomba msamaha kwa lipi sasa, unaomba msamaha kwa kupata utamu?

Me nadhani ifike point kuwa free kufuata hisia zako zinakupeleka wapi.

Sasa chukua mabegi yako uanze kuhamia kwa yule mshikaji mkaendelezee ulipoishia. Yeye si alikuwa anakutaka nenda sasa mkaishi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Na hajajutia mpaka alipokamatwa!
 
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
Nyie ndo wale mnaong'olewa meno na kutobolewa macho kwa upumbavu wenu kama huo.

Nashauri huyo mumeo akupe talaka tu ukadange vizuri huko mitaani. Hufai kuwa mke wake tena!!!!!!!
 
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
Aisee umempa mhuni utamu wa wiki nzima, akiba ya mumeo. Hadi chupi ililowa! Duh! Huyo jamaa hawezi kupona. Huo utamu ni mkubwaa. Akikumbuka tu ulivyolowa sana kwa ajili ya mhuni, mshale unachoma moyoni.
 
Unataka akusamehe ili muwe na amani Kama mwanzo yani akupende vile vile....

Baaday amani ikija mkarudiane na workmate wako...

Kiufupi wanawake huwa hamtaki amani acha jamaa akae hvyo hvyo maana akirudi Kama mwanzo utampiga Tena matukio
 
Binadam banaz Et nmekua Mke Bora sana kwake !!.


Sikia nikuambie Bob, Sisi wanaumez tukishajua tumesalitiwa, HUWA HATURUDISHI IMANI TENA !! .


yaan wiki Moja tu tayari ukaona umebanwa? Je ungekaa mwezi ?.


anakufatilia miezi minne, humtaki, ulishindwa kumshirikisha Mumeo?.

anakuita home, hukujua unaenda kuliwa??.



kwakua ,Mumeo alikupenda sana na umekiri alikua mwema Kwa Kila jambo, Basi binafsi nikutakie tu Ndoa ivunjike na kama haitovunjika, basi iwe ivoivo ya karaha siku zote za Maisha yako!!.

Kwa hiyo brother hujawahi kucheat ???..

Kama wewe umeshawahi kucheat, ni ni kinakufanya uamini kuwa mtu mwingine anastahili kuishi maisha mabaya kwa kufanya dhambi unayoifanya tena proudly

Hii sio issue ya uanaume na uanamke, ni issue ya mtu ambaye alitenda kosa na kwa bahati mbaya kwa kuwa sio michezo yake ndio maana alikamatwa kirahisi

Ni roho ya mtu ambayo imekaa miaka ikiomba msamaha hadi ku acha kazi ili aijenge nyumba yake.. Wewe ushawahi kulipia gharama ya dhambi zako??..

Hakuna anaepinga kuwa alifanya makosa makubwa na hakuna anaeweza kuondosha makovu aliyoyasababisha but at least kaamua kukiri, kukubali na kulipia gharama ya dhambi zake..

Vipi kuhusu wewe mkuu, tukigeuza meza na kuangalia dhambi zako tena zenye nature hiyo hiyo.. Utaweza kujilaani na kuona mateso kwa life lako lote kama stahiki yako??....
 
Nakupa ushauri wa kiume:-
  • Uliyechepuka naye hakupendi, bali alikuwa anakutamani ndio maana hakuangalia usalama wako, inawezekana manii zake alikumwagia kwenye hizo nguo zako ili akukomoe (akuchafue); angekuwa anakupenda angejitahidi chup.i na nguo uliyovaa isipate kasoro; zaidi tu ya ku...m.a kushibishwa kwa uji mzito.​
  • Kumrudisha mmeo kwenye mstari, inawezekana lakini mpaka mtakapomfanyia umafia huyo aliyeharibu ndoa yako. Na hii mshirikishe mumeo, namna huyo jamaa alivyokurubuni mpaka akakuvua chup. Baada ya hapo andaeni kikosi kazi, jamaa aingie kwenye 18, apigwe nyuma kama fundisho; hapo mapenzi yenu yatarudi kama awali.​
We jamaa ujawaza mbali. Nimejaribu kuvaa uhusika wa mumewe, naoina nafsi ikiwa nyepesi tena kama hili litafanyika. Hakika linaweza kufaa
 
Binadam banaz Et nmekua Mke Bora sana kwake !!.


Sikia nikuambie Bob, Sisi wanaumez tukishajua tumesalitiwa, HUWA HATURUDISHI IMANI TENA !! .


yaan wiki Moja tu tayari ukaona umebanwa? Je ungekaa mwezi ?.


anakufatilia miezi minne, humtaki, ulishindwa kumshirikisha Mumeo?.

anakuita home, hukujua unaenda kuliwa??.



kwakua ,Mumeo alikupenda sana na umekiri alikua mwema Kwa Kila jambo, Basi binafsi nikutakie tu Ndoa ivunjike na kama haitovunjika, basi iwe ivoivo ya karaha siku zote za Maisha yako!!.
HUu ni ushauri toka MZINZI mwenye cheti chake mjini😂😂😂😂😂
 
Kwa hiyo brother hujawahi kucheat ???..

Kama wewe umeshawahi kucheat, ni ni kinakufanya uamini kuwa mtu mwingine anastahili kuishi maisha mabaya kwa kufanya dhambi unayoifanya tena proudly

Hii sio issue ya uanaume na uanamke, ni issue ya mtu ambaye alitenda kosa na kwa bahati mbaya kwa kuwa sio michezo yake ndio maana alikamatwa kirahisi

Ni roho ya mtu ambayo imekaa miaka ikiomba msamaha hadi ku acha kazi ili aijenge nyumba yake.. Wewe ushawahi kulipia gharama ya dhambi zako??..

Hakuna anaepinga kuwa alifanya makosa makubwa na hakuna anaeweza kuondosha makovu aliyoyasababisha but at least kaamua kukiri, kukubali na kulipia gharama ya dhambi zake..

Vipi kuhusu wewe mkuu, tukigeuza meza na kuangalia dhambi zako tena zenye nature hiyo hiyo.. Utaweza kujilaani na kuona mateso kwa life lako lote kama stahiki yako??....
Mwanamke akiazaa Kugongwaa nje ya ndoaa na Ukamsamehee aisee HAACHIII...NARUDIA HAACHI...!! atatafuta namna nzuri ya kufanya huo upuuzi wake.
 
Back
Top Bottom