Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Mshikaji yeye aliamua kutokumgusa mkewe kabisa baada ya kumfumania huu ni mwaka wa 8 . Anahudumia watoto tu natoka out na watoto anatembea nao popote lakin nyumban mkewe kila mtu chumba chake.
Aaaaa is that true?
Mkewe anahari gani sasa
 
Fanyeni uhuni wote Ila sio kuuza mechi! Hilo kosa huwa halisamehewi. Unakaa na Bomu litakulipukia vunja ndoa kila MTU achukue maisha yake kinyume na hapo tutawasoma kwenye magazeti amekutoa macho!


Narudia tena kutembea na mwanaume mwingine na mwanaume akajua Hilo ni kosa lisilo na msamaha.



Nampongeza mwanaume wako Kwa kuwa mwanaume wakweli. Misimamo ya kiume.


Wanawake wapo wengi pisha hapo achukue nafasi mwingine. Wewe nenda kajaribu nafasi Kwa wanaume wengine.
Kuondoka siwezi
 
Kiufupi mpenzi, hata wanaume wa humu jf unawaona wanavyokereka.?

Mwanaume ni katili linapokuja swala la kuthibitisha umeshiriki tendo la ndoa yenu na mwaname mwingine.

Mwanaume anahisi umemdharau na hatakusamehe asilani.

Ukweli ni kwamba hutaweza kumrejesha kama zamani. Zaidi na zaidi tulia, mleleee watoto wake kuwa mtumwa wake, labda anaweza kukupa nafasi nyingine lakini sio Ile ya mke wake tena. Anatakutaka akugeuze 0656...usikubali... Chukua maneno yangu ya Bure.

Mzalie watoto kama Bado anapenda, jiongeze zaidi ya ulivyokuwa hapo awali.

Maadam anakula chakula unachopika, anakuingizia dudulenu, anavaa ukimfulia, anawalipia wanao ada, anatoa mahitaji, anaitikia salamu yako.

Mpikie chakula kitamu Sana.
Mvalishe apendeze.
Mfanye sehemu ya watoto wako.
Bajeti vzr uwe muaminifu.
Tena Anza kumuita baba badala ya mume wangu.

Kukusamehe ataamua mwenyewe.
Hats hivyo hapo amekusamehe pakubwa tu shukuru mungu.

Mwanamke mwenzangu nikuambie ukijaribu kufanya tofauti atakuua, ikiwa utashindwa kuwa royal kama livyosema Kim Jong Jr Bora uondoke.


Mimi Nina watoto 3 nimecheat sana lkn Kwa tahadhari kubwa, Hawa wanaume hawana nguvu nyingi kwamba nitatosheka,


Mume wangu ana sukar.
Alinioa mwaka 89, ndoa Ina mida mrefu nilikiwa na Miata 16, akanikubalia nianze form one, nikasoma nikiwa kabinti evening prgrm nikawa attached na shule moja nikamaaliza form four vzr, hapo nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 18. Alikuwa analipa tendo miaka yote....

Ktk umri wa miaka 17 nilicheat nikiwa mdgo wkt huo. Wkt huo hata sijui madhara yake, nikaendelea na maisha, tukaendelea kupata watoto, nikaingia form five na six nilipata division nzr TU ONE POINT 14. na A- level One Point 5 NIKAINGIA UDSM.

To paraphrase story.
Kuna jamaa nilimpenda Sana na alinipenda pia. Tukiwa chuo kikuu, mume hakuisha kija chuo. Bahat nzr sikuwa nakaa Santa chuo, weekends narudi Kwa wanangu.

Huyu jamaa anawivu kuliko wanaume wote duniani. Kina kipndi anachumua simu yangu anaenda nayo kazini , namwambia mchepuko kuwa jamaa anamebeba Simu ...

Emergine mmi graduate mume la 7. Lkn amekaba Kona. Sasa yeye katika utu uzima huu yeye ana 60 kasoro Mimi bado ndio nipo 30's ngono kuacha ni ngumu. Mwanangu mmoja mweupe wengine chocolate color. Najua kabisa huyu sio wake. Nikiruka name NAE nje nikaruka Kwa hiyo Kuna mulato aka Africast hapa.

Kwa Sasa dushe imelala Hadi niipige booster.

Wanaume wajue kwenye ndoa Kuna menginyamejificha
Naona unamiaka 50 now, vipi unaendlea kucheat still?
 
Kiufupi mpenzi, hata wanaume wa humu jf unawaona wanavyokereka.?

Mwanaume ni katili linapokuja swala la kuthibitisha umeshiriki tendo la ndoa yenu na mwaname mwingine.

Mwanaume anahisi umemdharau na hatakusamehe asilani.

Ukweli ni kwamba hutaweza kumrejesha kama zamani. Zaidi na zaidi tulia, mleleee watoto wake kuwa mtumwa wake, labda anaweza kukupa nafasi nyingine lakini sio Ile ya mke wake tena. Anatakutaka akugeuze 0656...usikubali... Chukua maneno yangu ya Bure.

Mzalie watoto kama Bado anapenda, jiongeze zaidi ya ulivyokuwa hapo awali.

Maadam anakula chakula unachopika, anakuingizia dudulenu, anavaa ukimfulia, anawalipia wanao ada, anatoa mahitaji, anaitikia salamu yako.

Mpikie chakula kitamu Sana.
Mvalishe apendeze.
Mfanye sehemu ya watoto wako.
Bajeti vzr uwe muaminifu.
Tena Anza kumuita baba badala ya mume wangu.

Kukusamehe ataamua mwenyewe.
Hats hivyo hapo amekusamehe pakubwa tu shukuru mungu.

Mwanamke mwenzangu nikuambie ukijaribu kufanya tofauti atakuua, ikiwa utashindwa kuwa royal kama livyosema Kim Jong Jr Bora uondoke.


Mimi Nina watoto 3 nimecheat sana lkn Kwa tahadhari kubwa, Hawa wanaume hawana nguvu nyingi kwamba nitatosheka,


Mume wangu ana sukar.
Alinioa mwaka 89, ndoa Ina mida mrefu nilikiwa na Miata 16, akanikubalia nianze form one, nikasoma nikiwa kabinti evening prgrm nikawa attached na shule moja nikamaaliza form four vzr, hapo nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 18. Alikuwa analipa tendo miaka yote....

Ktk umri wa miaka 17 nilicheat nikiwa mdgo wkt huo. Wkt huo hata sijui madhara yake, nikaendelea na maisha, tukaendelea kupata watoto, nikaingia form five na six nilipata division nzr TU ONE POINT 14. na A- level One Point 5 NIKAINGIA UDSM.

To paraphrase story.
Kuna jamaa nilimpenda Sana na alinipenda pia. Tukiwa chuo kikuu, mume hakuisha kija chuo. Bahat nzr sikuwa nakaa Santa chuo, weekends narudi Kwa wanangu.

Huyu jamaa anawivu kuliko wanaume wote duniani. Kina kipndi anachumua simu yangu anaenda nayo kazini , namwambia mchepuko kuwa jamaa anamebeba Simu ...

Emergine mmi graduate mume la 7. Lkn amekaba Kona. Sasa yeye katika utu uzima huu yeye ana 60 kasoro Mimi bado ndio nipo 30's ngono kuacha ni ngumu. Mwanangu mmoja mweupe wengine chocolate color. Najua kabisa huyu sio wake. Nikiruka name NAE nje nikaruka Kwa hiyo Kuna mulato aka Africast hapa.

Kwa Sasa dushe imelala Hadi niipige booster.

Wanaume wajue kwenye ndoa Kuna menginyamejificha
Mimi ilikuwa ni mara moja tuu sijawahi kumcheat kabisa.
 
Tangu tuyamalize na wazazi , huwa anavaa condom sasa ni 3 years anavaa condom, nimeshidwa kumshawishi asiwe anavaa.
Dah!, Jamaa yuko vizuri sana kwenye psychological torture [emoji119], we jishushe ivoivo nae ni binadamu tenda wema Kuna siku atarudi nyuma na kuondoa icho kinyongo maana Kwa jinsi unavyoumia na yeye anaumia ivoivo
 
Nilimuotea wife anatongozana na mshikaji kwenye sms, nikachukua panga kisha nikampigia video call huyo jamaa...nikawa namtandika wife mabapa ya panga ya hatari huku jamaa yake anaangalia kwenye video call. Ni mweupe sana nikawa nikipiga panga bapa kunaacha alama ya panga imejichora mgongoni, mapajani, mikononi, kwenye vigingi kote ni alama za mapanga tu. Nipo nae Hadi Leo ingawa simtilii umuhimu kiivo ni vile tu tuna family ya 3 kids tunaishi kimachale machale tu simjali kama zaman tokea hapo.
Jamaa alichukua uhamuzi gani alivyoona,
Na mkeo pia
 
Ndiyo maana nawashangaa wanawake mnaoingia kwenye ndoa. Unawezaje kulala na mtu mmoja tu muda wote??

Kuwa huru, ishi huru, ishi peke yako ili uchague nani wa kulala naye, ubadilishe ladha na aina ya ddyudyu.

Ushauri wangu kwako. Badilisha staili ya kungonoka, anza kumpa tigo, fanya BJ na uwe unameza shahawa zake, "mbuzi kagoma kwenda" kwa sana na badilisha miguno. Utanishukuru.
We kweli ni mjukuu wa Firauun

Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
 
Tatizo si kuchepuka. Tatizo ni mwenzako kujua.
Sasa ni kosa kubwa kukiri kosa. Madhara yake ni irreperable
 
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
Okoka mama na umshike Mungu kikweli kweli.
 
Daah maumivu ya husband wako nimeyafeel Kabisa, pole Sana ndugu yangu kwa mtihani huo mzigo wewe ndio ulidhamiria kufanya zambi,najua unajutia, mke anauma, Mimi demu tu alinisaliti kwa jamaa dereva boda boda sijui kwa vile sikuwa na maisha ya kivile,niliumia Sana na demu tuliachana mwishowe hadi leo anajutia ktka maisha yake kwani pia alibeba mimba jamaa akakataa kwenda kumsafisha kwani iliharibika mwishowe kwa ubinadamu nilimpeleka hospital akasafishwa kwa usaliti wake alitahayari lkn baadae kwa miaka kwenda akajanambia anatatizo kuhusu uzazi
Acha akome, na usimrudie mpumbavu huyo, hawa wanawake wa sasa ni tatizo sana, tuko mjini tunawajua tabia zao za sasa, yaani mwanamke wa sasa akikwambia anakupenda ni kama anakufatiji tu, yanalala na wanaume chungu mzima kila uchao, sasa likikwambia linakupenda si niliongo tu hilo? Yaani sijui Dunia ya sasa ikoje kwa hawa wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom