Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Ndiyo maana nawashangaa wanawake mnaoingia kwenye ndoa. Unawezaje kulala na mtu mmoja tu muda wote??

Kuwa huru, ishi huru, ishi peke yako ili uchague nani wa kulala naye, ubadilishe ladha na aina ya ddyudyu.

Ushauri wangu kwako. Badilisha staili ya kungonoka, anza kumpa tigo, fanya BJ na uwe unameza shahawa zake, "mbuzi kagoma kwenda" kwa sana na badilisha miguno. Utanishukuru.
Weee noma
 
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
Ongeza kuchepuka hadi afe
 
Generally nyie wanawake ni dhaifu sana( japo sio wote) Always hamjui kitu mnachokitaka in life, japo umejutia kosa lako.
Yani wiki moja tu inakushinda kuvumilia? Hivi mtu usiyempenda unawezaje kuwa wett akikushika? Yani unawekewa mtego rahisi na unajaa 100?
Watu wanaenda kozi miezi 3 msituni , unarudi mke yupo ngangari kinyama, watu wanaenda OP Darfur huko, mke anabaki meizi kibao hapigwi dushe ( japo wengine wana cheat)

Anyway wa kulaumiwa ni huyo dogo , hakika jamaa angedeal na huyo mpuuzi wa kazini kwenu kwanza.
Hakuna... kamwe usigombane na mwanaume mwenzio kisa mwanamke wako. Mwanamke akikuheshimu haguswi sehemu. Mwanamke asiedada yako ukimuita getto tena anajua umeshawahi kumtaka anajua kabisa anakuja kuliwa. Wanawake sio watoto wala wajinga bro..

Hawajui wanachotaka ila wanajua wanachofanya.
 
Kiufupi mpenzi, hata wanaume wa humu jf unawaona wanavyokereka.?

Mwanaume ni katili linapokuja swala la kuthibitisha umeshiriki tendo la ndoa yenu na mwaname mwingine.

Mwanaume anahisi umemdharau na hatakusamehe asilani.

Ukweli ni kwamba hutaweza kumrejesha kama zamani. Zaidi na zaidi tulia, mleleee watoto wake kuwa mtumwa wake, labda anaweza kukupa nafasi nyingine lakini sio Ile ya mke wake tena. Anatakutaka akugeuze 0656...usikubali... Chukua maneno yangu ya Bure.

Mzalie watoto kama Bado anapenda, jiongeze zaidi ya ulivyokuwa hapo awali.

Maadam anakula chakula unachopika, anakuingizia dudulenu, anavaa ukimfulia, anawalipia wanao ada, anatoa mahitaji, anaitikia salamu yako.

Mpikie chakula kitamu Sana.
Mvalishe apendeze.
Mfanye sehemu ya watoto wako.
Bajeti vzr uwe muaminifu.
Tena Anza kumuita baba badala ya mume wangu.

Kukusamehe ataamua mwenyewe.
Hats hivyo hapo amekusamehe pakubwa tu shukuru mungu.

Mwanamke mwenzangu nikuambie ukijaribu kufanya tofauti atakuua, ikiwa utashindwa kuwa royal kama livyosema Kim Jong Jr Bora uondoke.


Mimi Nina watoto 3 nimecheat sana lkn Kwa tahadhari kubwa, Hawa wanaume hawana nguvu nyingi kwamba nitatosheka,


Mume wangu ana sukar.
Alinioa mwaka 89, ndoa Ina mida mrefu nilikiwa na Miata 16, akanikubalia nianze form one, nikasoma nikiwa kabinti evening prgrm nikawa attached na shule moja nikamaaliza form four vzr, hapo nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 18. Alikuwa analipa tendo miaka yote....

Ktk umri wa miaka 17 nilicheat nikiwa mdgo wkt huo. Wkt huo hata sijui madhara yake, nikaendelea na maisha, tukaendelea kupata watoto, nikaingia form five na six nilipata division nzr TU ONE POINT 14. na A- level One Point 5 NIKAINGIA UDSM.

To paraphrase story.
Kuna jamaa nilimpenda Sana na alinipenda pia. Tukiwa chuo kikuu, mume hakuisha kija chuo. Bahat nzr sikuwa nakaa Santa chuo, weekends narudi Kwa wanangu.

Huyu jamaa anawivu kuliko wanaume wote duniani. Kina kipndi anachumua simu yangu anaenda nayo kazini , namwambia mchepuko kuwa jamaa anamebeba Simu ...

Emergine mmi graduate mume la 7. Lkn amekaba Kona. Sasa yeye katika utu uzima huu yeye ana 60 kasoro Mimi bado ndio nipo 30's ngono kuacha ni ngumu. Mwanangu mmoja mweupe wengine chocolate color. Najua kabisa huyu sio wake. Nikiruka name NAE nje nikaruka Kwa hiyo Kuna mulato aka Africast hapa.

Kwa Sasa dushe imelala Hadi niipige booster.

Wanaume wajue kwenye ndoa Kuna menginyamejificha
Yaani 1989 una miaka 16 halafu 2023 upo kwenye 30s hizo hesabu sio za miaka hii.
 
kwa mwendo huu wanaume acha wajirushe maghorofani wanwang'oe meno kwa plaizi
 
kwa mwendo huu wanaume acha wajirushe maghorofani wanwang'oe meno kwa plaizi
 
Pole sana dada kwa maswahibu yaliyokukuta. Ila kiukweli wanawake wengi hsn huwa wanachepuka. Shida kubwa tuliyonayo wanaume ni kusamehe ni ngumu sana. Kugongewa kunauma sana. Vumilia tu atabadilika mwenyewe akipenda.
 
Thanks dear.
Naumia sana kwani naamini still ana maumivu sana my hubby.
Naitaji awe mtu wa furaha kama mwanzo please wanawake wenzangu naombeni ushauri.
Pole sana najua wote wawili mnapitia kwenye maumivu makubwa sana.Cha muhimu endelea kuwa mke mwema ,mwombe sana MUNGU akurudishie mtu wako wa mwanzo ,fanya sala ya toba.Changua mistari ya kusimamia ya kwenye biblia hakuna kisicho wezekana kwa Mungu.Usijiweke myonge,jipende ili Mungu akupende yametokea ni funzo kwako na umesema umemwomba msamaha,Endelea kujifariji wewe mwenyewe na kila ukiamka na kulala ungea kitu na Mungu wako ndani ya nafsi yako.Hayajawahi kunikuta kwa kuwa siku niliapa kuwa naye nilimwomba sana Mungu nisipate vishawishi vya aina yoyote kwa kuwa nimeapa mwenyewe mbele ya madhabahu.Kiapo cha ndoa ni kigumu sana kwenye ulimwengu wa roho kwa kuwa once umeenda kinyume lazima upate kichapo cha hich kiapo.Wanaume na wanawake kama hauko tayari kuilinda ndoa(kiapo) chako kwa nguvu zote ,usioe kwa kiapo kwani ni agano.Anyway ni wewe na mtu wako na Mungu ndio pekee mnaweza kurudisha hali ya zamani.
 
Mwanaume akithibitisha umeliwa hatokupenda mpaka qnaona kaburi
 
Generally nyie wanawake ni dhaifu sana( japo sio wote) Always hamjui kitu mnachokitaka in life, japo umejutia kosa lako.
Yani wiki moja tu inakushinda kuvumilia? Hivi mtu usiyempenda unawezaje kuwa wett akikushika? Yani unawekewa mtego rahisi na unajaa 100?
Watu wanaenda kozi miezi 3 msituni , unarudi mke yupo ngangari kinyama, watu wanaenda OP Darfur huko, mke anabaki meizi kibao hapigwi dushe ( japo wengine wana cheat)

Anyway wa kulaumiwa ni huyo dogo , hakika jamaa angedeal na huyo mpuuzi wa kazini kwenu kwanza.
Haya kamanda ongeza sauti tukusikie
 
Haya maneno unayasema kwasbb hujaolewa, lkn ukishaolewa mumeo atakukinai mpk unaweza kuchepuka na mkata nyasi za kulisha ng'ombe.

Mtu yule yule, kibamia kile kile na staili ile ile mwaka nenda mwaka rudi inakera asikwambie mtu. Utachepuka tu.
Utazunguka mabucha yote ila nyama ni ile ile
 
Utazunguka mabucha yote ila nyama ni ile ile
Siyo kweli ndugu.

Wanawake vijungu vyao vinatofautiana sana. Kuna vipana, vyenye kina kifupi, vyenye kina kirefu, vyenye maji na vikavu.

Kwa wanaume virungu vyao vunatofautiana pia. Kuna vilivyojikunja kwa mbele ama kwa juu, vipo vifupi na virefu, vipo vyembamba na vipo vinene.

Utofauti huu ndiyo huleta utofauti hata kwenye utamu.

Tafuta raha hata kwa karaha.
 
Siyo kweli ndugu.

Wanawake vijungu vyao vinatofautiana sana. Kuna vipana, vyenye kina kifupi, vyenye kina kirefu, vyenye maji na vikavu.

Kwa wanaume virungu vyao vunatofautiana pia. Kuna vilivyojikunja kwa mbele ama kwa juu, vipo vifupi na virefu, vipo vyembamba na vipo vinene.

Utofauti huu ndiyo huleta utofauti hata kwenye utamu.

Tafuta raha hata kwa karaha.
Punguza kukitembeza, utofauti upo kwenye mwonekano wa nje tu ila huko ndani ni vile vile tu hakuna jipya. Ni kucheza na hisia tu
 
Back
Top Bottom