Umewahi kuona jambo gani mtandaoni ukaliamini baadaye ukaja kujua si la kweli?

Umewahi kuona jambo gani mtandaoni ukaliamini baadaye ukaja kujua si la kweli?

JamiiCheck

Member
Joined
Nov 3, 2023
Posts
98
Reaction score
122
Swali 1.jpg

Kwenye pitapita zetu mtandaoni au nje ya mtandao tunaona machapisho na kusikia vitu vingi, vingine vinashawishi kuviamini kabisa ila baadaye unakuja kugundua havina ukweli wowote.

Je, ni kutu gani umewahi kukutana nacho ndani na nje ya mtandao kakiamii ila ukaja kujua siyo kweli baada ya kuchunguza?

Zaidi, tembelea Jukwaa la JamiiCheck kwa kubofya HAPA.
 
Nakumbuka nilisikia eti mtu akiwa hana bandama hacheki, mpaka siku nimemuona mtu aliyepata ajali akatolewa bandama lakini akawa bado anacheka na baadaye nikaona hapa hapa mmeandika ndio nikajua ile ilikuwa kamba nimefugwa.
 

Nakumbuka nilisikia eti mtu akiwa hana bandama hacheki, mpaka siku nimemuona mtu aliyepata ajali akatolewa bandama lakini akawa bado anacheka na baadaye nikaona hapa hapa mmeandika ndio nikajua ile ilikuwa kamba nimefugwa.
😂😂😂
 
Kwamba Magufuli alikuwa fisadi, muuaji na alichukia matajiri, sasa hivi Ndio nimejua mbivu na mbichi
 
Israel ni taifa teule lenye nguvu na silaha za kisasa anazopewa na US
Baada ya kuhangaika na kikundi kidogo tu cha Hamas kwa miezi 4 sasa bila kutimiza malengo yake,nimegundua kua zile zilikua ni kamba tu,zionist ni walaini sana tu.
 
Back
Top Bottom