Umewahi kuona umuhimu wa Himid Mao kwenye Timu ya Taifa?

Frenandinho anachokifanya kinaonekana anauwezo mkubwa wa kupiga pasi za madhara kuhusu. Arturo ana assist anafunga pia sana tu je Mao ana offer services gani uwanjani zaidi ya kuchomekea na kupishana na mpira ukienda magharibi yeye mashariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kua simwelewagi tu, Aya akipangwa team ya taifa naonanaga kama wanacheza 9.....

Baba yake Ni mtu yupo kwenye mifumo ya Mpira wa kitanzania..... AtA kupata team nje Ni uodinary wa baba yake ndo maana Sasa hivi katolewa kiungo anacheza fullbac.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah! Wadau wanataka kuona skills yani kama hupigi mikasi, kanzu na matobo basi wewe hujui
 
Muweke Mao pembeni niambie kuna kiungo mkabaji gani wa Kitanzania mwenye uwezo huo uliotaja, kutoa assists na kufunga magoli?
 
Mkuu kwakweli ngoja nitafute .

ila unaweza kusema HIMID ni wa maana kuliko JJM?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kupata takwimu za ligi ya bongo ni kazi sana sema jaribu kutafuta lakini hata ukizipata naimani hutozifurahia maana zitakuwa kinyume na matakwa yako...

Mkude ni fundi zaidi mzee 😀.... Ila matatizo yake binafsi ndio tatizo lake kubwa
 
Kupata takwimu za ligi ya bongo ni kazi sana sema jaribu kutafuta lakini hata ukizipata naimani hutozifurahia maana zitakuwa kinyume na matakwa yako...

Mkude ni fundi zaidi mzee [emoji3].... Ila matatizo yake binafsi ndio tatizo lake kubwa
Hapo tumeelewa na takwimu zinaweza kuwa sio nzuri sabubu msimu ulikuwa bado kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Himid ni mzuri kwa sababu yupo 1st ya stars kwa miaka 7 saivi ,ndio kamstaafisha nditi
Hivi umesahau magoli ya nje ya box ya himidi
Hadi wana simba tukamwita ninjah?

Mtu hadi anafikia level ya kuwa assistance captain in national team bado unamfananisha na nanii?
 
Kuna game ya Taifa nafikiri ilikua AFCON jamaa game ilimzidi kuna muda game inaendelea yeye anafunga kamba viatu kilichofuata alicheza faulu za ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…