NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ilikuwa darasa la sita,tukizinguana shule uwa kuna chimbo maalum lakupigana baada ya kutoka shule.
kuna dogo anaitwa Edy anakichwa flani hivi kikubwa kiasi.
kufika chimbo la kupigana Edy akavuashati, siokwakufungua vishkizo alitaka kuvua kama tshet,kashika shati kwachini akapandisha juu[emoji23]
kwenye kola ya shati pakagoma kupita kwenye kichwa,shati silakmziba macho,pua na mdomo[emoji23]
Edy alipigwa akapigika mpaka akajinyea[emoji23]
kipindi icho kupigana ni mpaka kuputa mchanga,kuvua shati na kuchora mstati[emoji23]
kuna dogo anaitwa Edy anakichwa flani hivi kikubwa kiasi.
kufika chimbo la kupigana Edy akavuashati, siokwakufungua vishkizo alitaka kuvua kama tshet,kashika shati kwachini akapandisha juu[emoji23]
kwenye kola ya shati pakagoma kupita kwenye kichwa,shati silakmziba macho,pua na mdomo[emoji23]
Edy alipigwa akapigika mpaka akajinyea[emoji23]
kipindi icho kupigana ni mpaka kuputa mchanga,kuvua shati na kuchora mstati[emoji23]