Umewahi kupigwa/ kupiga/ kumuona mtu akipigwa (kisawa sawa)?

Umewahi kupigwa/ kupiga/ kumuona mtu akipigwa (kisawa sawa)?

Kama hiyo niliikuta Pasiansi stendi... wapigadebe walikuwa wanagombana...sasa mmoja akamuwahi mwenzie kwa nyuma akamuwahi roba ya nyuma (ng'ombe) alafu akamshika na pumbu...jamaa akawa akitoa roba pumbu zinaminywa..akihamishia mikono kwenye pumbu, roba inakazwa...haikuchukua hata dakika moja jamaa akazirai...
Du hatar
 
Mm nakumbuka kipindi hicho nimemaliza six nipo mtaani nasubir majibu, sasa tulikuwa kijiweni always napenda sana utani mpk leo sijaacha sasa kuna mwamba nilimzid kete....akaona njia ya kujitetea ni kunitukania Mama yangu, tena matusi makubwa mpk kijiwe kikawa kimya...kuangalia nn kitatokea...eeebwana, niliruka mithiri ya batman, hakuna siku nilirusha ngumi kiume mpk nikajishangaa[emoji44][emoji848][emoji4][emoji16] jamaa nilimchapa kisawa sawa, mpaka leo hawez Sahau maana nilimtoa jino mpk leo anapengo[emoji53] Mama anauma asikwambie mtu.
 
Back
Top Bottom