NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
wee lichukulie hivyohivyo tu si umelikutaKudadeki maana yake ni nini?
Umeulizwa?wee lichukulie hivyohivyo tu si umelikuta
umeomba maana ya nn saaUmeulizwa?
Kupaapake ni kivumishi kilichotoholewa kutoka kwenye neno - KUMAAAMAKEKupaapake ni nini?
Kudadadeki - kamuulize haji manara. Ndio anapendaga zaidi kuongea hivo.Kudadeki maana yake ni nini?
Umpige Nani wewe,labda walevi wa gongoDahhhh.....
Niliwai kumpa kichapo yule jamaa, adi nikamvunja mkono.
Mwisho niliishia kwenda jela na baada ya kutoka niliapa sinto pigana tena katika maisha yangu hapa duniani, maana niligundua naweza kuja kuua aiseeee
Ebu tulia kwanza kijana, maana wewe bado hata ugimbi haujakutoka...Umpige Nani wewe,labda walevi wa gongo
NakaziaKudadadeki - kamuulize haji manara. Ndio anapendaga zaidi kuongea hivo.
Ila maana yake pia ni kumalamamaake[emoji3]
Itakuwa sio kwa hiyo combination [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3] kumbe ulikuwa unapigana na sensei.... Ha ha ha
Hiyo ya Koromeo inaitwa shuto...na inapigwab kwa upanga was kiganja Cha mkono kooni...lazima mutu akuniye akipigwa hiyo washararaaa
Kama hiyo niliikuta Pasiansi stendi... wapigadebe walikuwa wanagombana...sasa mmoja akamuwahi mwenzie kwa nyuma akamuwahi roba ya nyuma (ng'ombe) alafu akamshika na pumbu...jamaa akawa akitoa roba pumbu zinaminywa..akihamishia mikono kwenye pumbu, roba inakazwa...haikuchukua hata dakika moja jamaa akazirai...Nimekumbuka siku nilipomshuhudia jamaa amepigwa roba anashindwa hata kupumua (kudadadeki)
Afu watu wanamshangilia tu. Ha ha ha ha!
That's kogoyokoAngekupa na Yokogeri ya koromeo ufe kabisa πππ
Mkuu cheo kizito icho..mi bado mwanafunziTupe mujanja sensei juma mpemba
Mkuu cheo kizito icho..mi bado mwanafun
Hiyo kali...alimpiga kwa stail za kuzimKama hiyo niliikuta Pasiansi stendi... wapigadebe walikuwa wanagombana...sasa mmoja akamuwahi mwenzie kwa nyuma akamuwahi roba ya nyuma (ng'ombe) alafu akamshika na pumbu...jamaa akawa akitoa roba pumbu zinaminywa..akihamishia mikono kwenye pumbu, roba inakazwa...haikuchukua hata dakika moja jamaa akazirai...