Umewahi kupigwa/ kupiga/ kumuona mtu akipigwa (kisawa sawa)?

Du hatar
 
Mm nakumbuka kipindi hicho nimemaliza six nipo mtaani nasubir majibu, sasa tulikuwa kijiweni always napenda sana utani mpk leo sijaacha sasa kuna mwamba nilimzid kete....akaona njia ya kujitetea ni kunitukania Mama yangu, tena matusi makubwa mpk kijiwe kikawa kimya...kuangalia nn kitatokea...eeebwana, niliruka mithiri ya batman, hakuna siku nilirusha ngumi kiume mpk nikajishangaa[emoji44][emoji848][emoji4][emoji16] jamaa nilimchapa kisawa sawa, mpaka leo hawez Sahau maana nilimtoa jino mpk leo anapengo[emoji53] Mama anauma asikwambie mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…