Umewahi kupigwa roba mtaani? Weka kisa chako

Mchikidown

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Huwa natembea na kisu Cha kukunja Kama Nina mizunguko ya mguu usiku mnene.

Jichanganye nikukite

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Daaaaahh, Twalib kiboko
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂
Watu wanakupiga mpini wa mgongoni mpaka unashuka, wanachukua vyao
 
Reactions: EEX

Uzi huu hapa mcheke mpaka muumize mbavu
 
😂😂😂😂
Watu wanakupiga mpini wa mgongoni mpaka unashuka, wanachukua vyao
Walianza na dereva wakamtandika wamkono akayumba akageuza chombo ilipotoka ,mi nikawa nimewapa mgongo nilipewa moja tu nikajikuta nimeruka niko chini.
 
Sijui ni kwanini kila nikipita maeneo hatarishi kwa Ukabaji na hata nikiwakuta Wakabaji wenyewe huwa hawanikabi. Sijui labda wananihisi nami ni Mwandamizi Mwenzao Kiukabaji au vipi.
Ni jilo jina lako mkuu,
nani anataka matatizo
 
Sijui ni kwanini kila nikipita maeneo hatarishi kwa Ukabaji na hata nikiwakuta Wakabaji wenyewe huwa hawanikabi. Sijui labda wananihisi nami ni Mwandamizi Mwenzao Kiukabaji au vipi.
Mkuu utakuwa na kidali nini?
 
Fainali ya Arsenal vs Barca ilikua 2010?
 
Hawa wajinga nishakutana nao Sana ila kucheza na akili zao ndo dawa,,nikikutana nao Huwa hawanielewi ni mwizi mwenzao au mpita njia tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mliua
 
[emoji23][emoji23][emoji23] utakuja kuuwa ww
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa waseng' huwa ni majasiri sana.Mwaka jana pale Zakhem Mbagala kama unaelekea kibonde Maji walinikabia mjeshi mmoja hivi,wakampora vyote na demu wake wakampoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…