the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
1. Mimi miaka kadhaa nyuma kuna dem nilimuahidi akija geto nitampa 20k, si akajichanganya akaja geto nikala mzigo fresh baade kataka ile hela nikamwambia sina nitakupa siku nyingine. Basi tukalala, ile naamka asubuhi demu hayupo, nikagundua kumbe kaondoka na kisado cha dagaa nyama, nilihis ganz mwil mzima.
2. Hii iliniuma sana, mwaka 2018 nilipata toto flan hiv la kimbulu, full msambwanda. Si nikajichanganya nikataka kabisa kumtia mimba na akahitaj nikamtambulishe mpk nikaanza kuwaletea nyodo madem zangu wawili kwa kujiona nimepata kifaa!
Ndani ya miezi miwil nikaja kugundua huyu dem wa kimbulu kumbe ni dem wa mtu tena mbavu nene! Kwahy leo yupo kwangu kesho kwa jamaa, aseh niliishiwa pozi! Siku tunakutana na jamaa tukajuana tunakula sehem moja, ila mwisho wa siku dem ndio alimkana jamaa tukiwa wote watatu ila mm sikueza tena kuwa serious kwa dem. Hii kitu iliniuma sana, badae huyu manz akadai ana mimba hapo ndio kimbembe kilipotokea[emoji23].5
3. Hii ndio mpk leo siwezi kusahau, mwaka 2016 napigiwa cm na mzee wangu saa 12 alfajir kuwa natakiwa niripot kambini makutupora Dodoma, huku nyuma nina dem wang ana mimba ya miez 5. Nikajianda nikadandia bus mpk dom.
Nikafika kambin lkn huku akili yangu ipo kwa dem niliemtia mimba, kufupisha nikatoroka kambin nikarud mkoani usiku wa manane. Matokeo yake kwao walivyogundua binti yao mjamzito alaf anatakiwa aende chuo wakaichomoa mimba.
Hii kitu iliniuma sana na mapenz yakaisha hapo hapo japo niliendelea kumla mpk nilipokuja kumuacha 2019 baad ya kuamua kumuambia ukwel kuwa sina mapenz nae (huenda leo ningekuw soja [emoji22]).
Je, ww ulishawah kupambana na mkasa upi uliokugusa katika mapenz?
2. Hii iliniuma sana, mwaka 2018 nilipata toto flan hiv la kimbulu, full msambwanda. Si nikajichanganya nikataka kabisa kumtia mimba na akahitaj nikamtambulishe mpk nikaanza kuwaletea nyodo madem zangu wawili kwa kujiona nimepata kifaa!
Ndani ya miezi miwil nikaja kugundua huyu dem wa kimbulu kumbe ni dem wa mtu tena mbavu nene! Kwahy leo yupo kwangu kesho kwa jamaa, aseh niliishiwa pozi! Siku tunakutana na jamaa tukajuana tunakula sehem moja, ila mwisho wa siku dem ndio alimkana jamaa tukiwa wote watatu ila mm sikueza tena kuwa serious kwa dem. Hii kitu iliniuma sana, badae huyu manz akadai ana mimba hapo ndio kimbembe kilipotokea[emoji23].5
3. Hii ndio mpk leo siwezi kusahau, mwaka 2016 napigiwa cm na mzee wangu saa 12 alfajir kuwa natakiwa niripot kambini makutupora Dodoma, huku nyuma nina dem wang ana mimba ya miez 5. Nikajianda nikadandia bus mpk dom.
Nikafika kambin lkn huku akili yangu ipo kwa dem niliemtia mimba, kufupisha nikatoroka kambin nikarud mkoani usiku wa manane. Matokeo yake kwao walivyogundua binti yao mjamzito alaf anatakiwa aende chuo wakaichomoa mimba.
Hii kitu iliniuma sana na mapenz yakaisha hapo hapo japo niliendelea kumla mpk nilipokuja kumuacha 2019 baad ya kuamua kumuambia ukwel kuwa sina mapenz nae (huenda leo ningekuw soja [emoji22]).
Je, ww ulishawah kupambana na mkasa upi uliokugusa katika mapenz?