Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

the numb 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2020
Posts
1,562
Reaction score
2,902
1. Mimi miaka kadhaa nyuma kuna dem nilimuahidi akija geto nitampa 20k, si akajichanganya akaja geto nikala mzigo fresh baade kataka ile hela nikamwambia sina nitakupa siku nyingine. Basi tukalala, ile naamka asubuhi demu hayupo, nikagundua kumbe kaondoka na kisado cha dagaa nyama, nilihis ganz mwil mzima.

2. Hii iliniuma sana, mwaka 2018 nilipata toto flan hiv la kimbulu, full msambwanda. Si nikajichanganya nikataka kabisa kumtia mimba na akahitaj nikamtambulishe mpk nikaanza kuwaletea nyodo madem zangu wawili kwa kujiona nimepata kifaa!

Ndani ya miezi miwil nikaja kugundua huyu dem wa kimbulu kumbe ni dem wa mtu tena mbavu nene! Kwahy leo yupo kwangu kesho kwa jamaa, aseh niliishiwa pozi! Siku tunakutana na jamaa tukajuana tunakula sehem moja, ila mwisho wa siku dem ndio alimkana jamaa tukiwa wote watatu ila mm sikueza tena kuwa serious kwa dem. Hii kitu iliniuma sana, badae huyu manz akadai ana mimba hapo ndio kimbembe kilipotokea[emoji23].5

3. Hii ndio mpk leo siwezi kusahau, mwaka 2016 napigiwa cm na mzee wangu saa 12 alfajir kuwa natakiwa niripot kambini makutupora Dodoma, huku nyuma nina dem wang ana mimba ya miez 5. Nikajianda nikadandia bus mpk dom.

Nikafika kambin lkn huku akili yangu ipo kwa dem niliemtia mimba, kufupisha nikatoroka kambin nikarud mkoani usiku wa manane. Matokeo yake kwao walivyogundua binti yao mjamzito alaf anatakiwa aende chuo wakaichomoa mimba.

Hii kitu iliniuma sana na mapenz yakaisha hapo hapo japo niliendelea kumla mpk nilipokuja kumuacha 2019 baad ya kuamua kumuambia ukwel kuwa sina mapenz nae (huenda leo ningekuw soja [emoji22]).

Je, ww ulishawah kupambana na mkasa upi uliokugusa katika mapenz?
 
1.mimi miaka kadhaa nyuma kuna dem nilimuahidi akija geto nitampa 20k siakajichanganya akaja geto nikala mzigo fresh baade kataka ile hela nikamwambia sina nitakupa siku nyingine basi tukalala ile naamka asubuhi demu hayupo nikagundua kumbe kaondoka na kisado cha dagaa nyama nilihis ganz mwil mzima.


Je ww ulishawah kupambana na mkasa upi uliokugusa katika mapenz?
Hiyo ya mwisho ulifeli mkuu
 
Huyo wa kwanza anafaa kuolewa kabisa. Kajiongeza, akose pesa hata chakula akose pia. Hakuna kugongwa kwa mkopo😀😀😀.

Enzi za utoto nilikuwa na kidemu cha kiarabu koko cha mtaani, wenyewe tunadanganyana tutaoana. Kwa vile alikuwa geti kali na mambo ya simu hakuna, mawasiliano mengi tulikuwa tunafanya kupitia kwa binamu yake wa kiume ambae anaishi kwao.
Ilikuwa nikipata vizawadi nampa shemeji binamu apeleke. Na saa nyingine msela anakuja kudai katumwa aje aombe pesa kwangu, na mimi natoa.

Ilikuwa nasoma shule ya bweni. Niliporudi likizo kipindi nipo kidato cha 4 nikasikia demu kaolewa. Ikabidi nimtafute shemeji binamu aniambie vizuri nakuja gundua kumbe ndio mume mwenyewe aliemuoa demu wangu. Walikuwa wanapigana miti ndani mwao humo mpaka kuja kufumwa na kuozeshwa na wazazi wao.
Halafu jamaa lilivyokuwa kauzu linaniambia kama kuna ujumbe au zawadi yeyote niendelee kumpa ampelekee mkewe ambae ni demu wangu.
Na demu ilikuwa nikikutana nae baada ya hapo ananiambia bado mimi ni mpenzi wake. Tuliendelea kupigana miti kwa kuiba iba mpaka walipohamia Zanzibar na mumewe binamu.

Mpaka leo hii demu yeyote akiniambia mambo ya 'cousin' wa jinsia tofauti na uhusiano unaishia hapo hapo.
 
Huyo wa kwanza anafaa kuolewa kabisa. Kajiongeza, akose pesa hata chakula akose pia. Hakuna kugongwa kwa mkopo[emoji3][emoji3][emoji3].

Enzi za utoto nilikuwa na kidemu cha kimanga cha mtaani wenyewe tunadanganyana tutaoana. Kwa vile alikuwa geti kali na mambo ya simu hakuna, mawasiliano mengi tulikuwa tunafanya kupitia kwa binamu yake wa kiume ambae anaishi kwao.
Ilikuwa nikipata vizawadi nampa shemeji binamu apeleke. Na saa nyingine msela anakuja kudai katumwa aje aombe pesa kwangu, na mimi natoa.

Ilikuwa nasoma shule ya bweni. Niliporudi likizo kipindi nipo kidato cha 4 nikasikia demu kaolewa. Ikabidi nimtafute shemeji binamu aniambie vizuri nakuja gundua kumbe ndio mume mwenyewe aliemuoa demu wangu. Walikuwa wanapigana miti ndani mwao humo mpaka kuja kufumwa na kuozeshwa na wazazi wao.
Halafu jamaa lilivyokuwa kauzu linaniambia kama kuna ujumbe au zawadi yeyote niendelee kumpa ampelekee mkewe ambae ni demu wangu.

Mpaka leo hii demu yeyote akiniambia mambo ya 'cousin' wa jinsia tofauti na uhusiano unaishia hapo hapo.

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Me walitaka kunipiga tukio ila Binti mwenyewe akaniambia nikaushie tu niachane nao

Nimelala nae kama leo kesho yake mama yake anatuma mjumbe eti nifanye utaratibu nipeleke posa laa sivyo akanishtaki kijiji (ofsini) maana namchezea mtoto wao

Sasa katika maongezi wakajichanganya eti Binti ana mchumba wake nimpe laki yule mama ili yaishe au kaka wa mtoto atakuja na ni mdeadly. Basi nikamchana vilivyo yule jamaa mjumbe nikamwambia mwambie huyu mama aache njaa Mimi sitishiwagi mwambie hata huyo kaka wa binti simwogopi na kama Binti ni kitega uchumi basi mwambie mama yake aje kesho achukue hiyo laki

Usiku yule Binti akajileta tena (alinielewa sana na hata mpaka kulala nae vile ni yeye ndo alinitega) tukazungumza sana nikawa nampasha na yeye basi akahuzunika sana akawa anasema "mama mbona Mimi namjua hiyo tabia anayo sana ila wewe usijali hatafanya lolote

Basi bwana Cha kushangaza yule mama alikuja kweli kufuata hela ila Binti yake akaniambia achana nao usimpe hata mia kwanza wamesema wanakuogopa huoni wameishia kule mbali (walifika kwenye kotaz zetu lakini wakakaa mbali kabisa). Basi Mimi nikawafuata hadi pale walipo nikawasalimia kisha nikawauliza "tuwasaidie Nini" wakajibu "tumekuja kumjulia Hali tu huyo Fulani" (yaani mtoto wao- maana alikuwa amekuja kama house girl kwa moja ya wenzangu katika kazi). Walivyojibu tu hivyo mimi nikawapita zangu moto! nikaishia

Stori ndefu ila kufupisha tu ni kwamba binti aliniganda sana na kuonesha ananipenda hajawahi kula hata mia mbovu yangu na mimi nikawa Sina mpango nae. Alikuwa tu akilalamika kwamba mama yake kamharibia. Siku kadhaa mbele akafukuzwa pale akarudi kwao mara nasikia kaolewa mbali kidogo na ndo hatujaonana hadi leo
 
Me walitaka kunipiga tukio ila Binti mwenyewe akaniambia nikaushie tu niachane nao

Nimelala nae kama leo kesho yake mama yake anatuma mjumbe eti nifanye utaratibu nipeleke posa laa sivyo akanishtaki kijiji (ofsini) maana namchezea mtoto wao

Sasa katika maongezi wakajichanganya eti Binti ana mchumba wake nimpe laki yule mama ili yaishe au kaka wa mtoto atakuja na ni mdeadly. Basi nikamchana vilivyo yule jamaa mjumbe nikamwambia mwambie huyu mama aache njaa Mimi sitishiwagi mwambie hata huyo kaka wa binti simwogopi na kama Binti ni kitega uchumi basi mwambie mama yake aje kesho achukue hiyo laki

Usiku yule Binti akajileta tena (alinielewa sana na hata mpaka kulala nae vile ni yeye ndo alinitega) tukazungumza sana nikawa nampasha na yeye basi akahuzunika sana akawa anasema "mama mbona Mimi namjua hiyo tabia anayo sana ila wewe usijali hatafanya lolote

Basi bwana Cha kushangaza yule mama alikuja kweli kufuata hela ila Binti yake akaniambia achana nao usimpe hata mia kwanza wamesema wanakuogopa huoni wameishia kule mbali (walifika kwenye kotaz zetu lakini wakakaa mbali kabisa). Basi Mimi nikawafuata hadi pale walipo nikawasalimia kisha nikawauliza "tuwasaidie Nini" wakajibu "tumekuja kumjulia Hali tu huyo Fulani" (yaani mtoto wao- maana alikuwa amekuja kama house girl kwa moja ya wenzangu katika kazi). Walivyojibu tu hivyo mimi nikawapita zangu moto! nikaishia

Stori ndefu ila kufupisha tu ni kwamba binti aliniganda sana na kuonesha ananipenda hajawahi kula hata mia mbovu yangu na mimi nikawa Sina mpango nae. Alikuwa tu akilalamika kwamba mama yake kamharibia. Siku kadhaa mbele akafukuzwa pale akarudi kwao mara nasikia kaolewa mbali kidogo na ndo hatujaonana hadi leo
We boya
 
Huyo wa kwanza anafaa kuolewa kabisa. Kajiongeza, akose pesa hata chakula akose pia. Hakuna kugongwa kwa mkopo😀😀😀.

Enzi za utoto nilikuwa na kidemu cha kimanga cha mtaani wenyewe tunadanganyana tutaoana. Kwa vile alikuwa geti kali na mambo ya simu hakuna, mawasiliano mengi tulikuwa tunafanya kupitia kwa binamu yake wa kiume ambae anaishi kwao.
Ilikuwa nikipata vizawadi nampa shemeji binamu apeleke. Na saa nyingine msela anakuja kudai katumwa aje aombe pesa kwangu, na mimi natoa.

Ilikuwa nasoma shule ya bweni. Niliporudi likizo kipindi nipo kidato cha 4 nikasikia demu kaolewa. Ikabidi nimtafute shemeji binamu aniambie vizuri nakuja gundua kumbe ndio mume mwenyewe aliemuoa demu wangu. Walikuwa wanapigana miti ndani mwao humo mpaka kuja kufumwa na kuozeshwa na wazazi wao.
Halafu jamaa lilivyokuwa kauzu linaniambia kama kuna ujumbe au zawadi yeyote niendelee kumpa ampelekee mkewe ambae ni demu wangu.

Mpaka leo hii demu yeyote akiniambia mambo ya 'cousin' wa jinsia tofauti na uhusiano unaishia hapo hapo.
Wewe ndo ulipigwa tukio lenyewe haswaa😂
 
Back
Top Bottom